Hii niliipenda kutoka kwa mdau mmoja humu
Ivi unaichukuliaje biblia?
Biblia ni kama vitabu vingine vya hadith za kale. Unajua ukitaka kuishi na kupata watu kutoka kwenye jamii fulani fanana nao kwa kitambo. Hatimaye waeleze ukweli kuwa hakuna kitu kinachoitwa mungu duniani, mungu kaumbwa na watu na sio kuwa mungu kawaumba watu. Kwa sababu watu hao wamefungwa na vifungo vya imani. Ni vyema kuwapa elimu kidogo kidogo mwisho wa siku somo litaeleweka na kuiweka dunia kuwa mahali salama kwa watu wote. Hii ndio ninayo isema NWO lazima elimu ipite kwanza na ndipo tutakapofikia kipindi cha kuweka silaha chini na kuwa kitu kimoja. Laki ni sharti mambo ya dini yafe kabisaaaaa.
Cc
Annael