Is Atheism Satanism?

Tatizo mnapopewa ushahidi hamuutaki mkiulizwa aina ya ushahidi hamuujui mnaouhitaji. Majanga mwanzo mwisho.
Ushahidi mkubwa ni uumbaji unaoonekana wazi

Umeongea Kiungwana na hivyo nitakujibu kiungwana; Sasa kama ushahidi ni kama huo, ni vigumu kuuhusianisha na ushahidi wa kuwapo kwa mungu wenu mf; Ni kitu gani kinachohusianisha uwepo wa vitu na uwepo wa mungu?
Ni kipi kinachothibitisha kuwa ni mungu alieviumba?
 
Hahaha! You boring little bitch, msingi hapa ni je mungu wako yupo au ni kamba? Nipe huo ushahidi na sio kurukaruka
Where is the proof that you exist? Usijaribu kukimbia kama wale akina Kiranga na Nyani Ngabu wenye udhaif wa fikra.
 
Last edited by a moderator:
Tatizo mnapopewa ushahidi hamuutaki mkiulizwa aina ya ushahidi hamuujui mnaouhitaji. Majanga mwanzo mwisho.
Ushahidi mkubwa ni uumbaji unaoonekana wazi
Kiongozi, jamaa hawa wana upungufu wa akili. Kwanza wapi ushahi wao kuwa hakuna Mungu? Kamwe hawato weza kutuletea kwasababu wao ni wafuata mkumbo.
 
Where is the proof that you exist? Usijaribu kukimbia kama wale akina Kiranga na Nyani Ngabu wenye udhaif wa fikra.

Nilikwishalijibu hilo swali, rudia majibu yangu katika post zangu sababu uliyasoma. kama unalo la kukosoa liweke hapa hadharani. Siwezi kukukimbia Ishmael, huna cha maana au kutisha
 
Last edited by a moderator:
Nilikwishalijibu hilo swali, rudia majibu yangu katika post zangu sababu uliyasoma. kama unalo la kukosoa liweke hapa hadharani. Siwezi kukukimbia Ishmael, huna cha maana au kutisha
Blah blah blah, wee nilisha kwambia kufuata mkumbo ni msiba kwako. Unaona jinsi unavyo bwabwaja hapa?

Lete ushahid bana na si hadith za kiislamu. Sina muda na vilio vyenu visivyo na mwisho. Lete ushahid tuuone hapa.

Prove to me that you exist? Haya ngonjera zinaanza kama kawaida yako.
 

Hahaha! Unachekesha kweli, sasa nimekuwa muislam tena? Uso wa nyoka, ndie unaemweleza ujinga wako hapa nae anakujibu, hilo ni uthibitisho kuwa anaexist!
 
Hahaha! Unachekesha kweli, sasa nimekuwa muislam tena? Uso wa nyoka, ndie unaemweleza ujinga wako hapa nae anakujibu, hilo ni uthibitisho kuwa anaexist!
Bado haujathibitisha
 
Bado haujathibitisha.

Swali langu lipo pale pale.

Prove to me that you exist.

Kama kawaida yako. Umesema explanation niliyotoa haitoshi, nikakwambia wewe uweke hapa sifa za kitu kinachoexist lakini umeshindwa, what do I do with you?
You are a very funny monkey, when you retire from the circus, can I keep you as a pet? Its serious!
 
Bado auja-Thibitisha

Hivi kwanini unaogopa kuthibitisha kuwa una exist?

Unaona tatizo la kufua Mkumbo wa madini na MA-CULT ya Kisheitwan yanavyo kutoa nisha mchana kweupeee.

Jibu swali langu bana.

Prove to me that you exist?
 
Bado auja-Thibitisha

Hivi kwanini unaogopa kuthibitisha kuwa una exist?

Unaona tatizo la kufua Mkumbo wa madini na MA-CULT ya Kisheitwan yanavyo kutoa nisha mchana kweupeee.

Jibu swali langu bana.

Prove to me that you exist?

I have already done that and since you say that Im wrong, you have to correct Me by giving me a correct answer to that.
But it seems you don't have an answer still or you are scared, hence the noises!
 
I have already done that and since you say that Im wrong, you have to correct Me by giving me a correct answer to that.
But it seems you don't have an answer still or you are scared, hence the noises!
Bado haujathibitisha
 
1. Mtume Muhammad akutana na Majini usiku na kuyafundisha Quran.
2. Shetani na yeye aingia msikitini na Kusilimu.

...Continue Reading

Yesu:
Matthew 26:39 Going a little farther, he fell with his face to the ground and prayed, "My Father, if it is possible, may this cup be taken from me. Yet not as I will, but as you will."
Matthew 27:46 About three in the afternoon Jesus cried out in a loud voice, "Eli, Eli, lema sabachthani?" (which means "My God, my God, why have you forsaken me?").
John 5:30 By myself I can do nothing; I judge only as I hear, and my judgment is just, for I seek not to please myself but him who sent me.
Mark 13:32 "But about that day or hour no one knows, not even the angels in heaven, nor the Son, but only the Father.

Paulo:
1 Corinthians 15:14 And if Christ has not been raised, our preaching is useless and so is your faith.
1 Corinthians 15:15 More than that, we are then found to be false witnesses about God, for we have testified about God that he raised Christ from the dead. But he did not raise him if in fact the dead are not raised.

Link 1 Corinthians 15 - The Resurrection of Jesus and Our Resurrection

link Surat An-Nisa' [4:157] - The Noble Qur'an - ?????? ??????
And [for] their saying, "Indeed, we have killed the Messiah, Jesus, the son of Mary, the messenger of Allah ." And they did not kill him, nor did they crucify him; but [another] was made to resemble him to them. And indeed, those who differ over it are in doubt about it. They have no knowledge of it except the following of assumption. And they did not kill him, for certain.
 

  • Allah ni kiumbe. Kina macho, miguu mikona kama weye.

    ALLAH ALIUGUA MACHO:
    "Wakati mmoja macho ya Allah yalikuwa yanauma, na Malaika walikwenda kumuona, na kwamba Allah alitokwa na Machozi, kwa ajili ya Mafuriko ya Nabii Nuhu mpaka macho yake yakawa mekundu. (Al Milal Wannihal J. 1 uk. 141)

    ALLAH ANA MIKONO
    Surah S'aad 75. Mwenyezi Mungu akamwambia: Ewe Iblisi! Kipi kilicho kuzuia kumt'ii yule niliye muumba kwa mikono yangu? Je! Umejiona mkubwa, au umekuwa katika wakuu kweli?

    ALLAH ANA MIGUU
    Allah anaiweka Miguu yake Jehannam...(Sahih Bukhari, 6.60.371, 373)



 
Naona Wewe huna hoja ya msingi na umeamua kunipotezea muda. Labda basi uniambie, ushahidi wa mimi kuwa naexist unasaidia nini katika mjadala huu?
Sinilikwambia kuwa achana kufuata mkumbo wa vitu usivyo vifahamu.

Thibitisha:

Prove to me that you exist.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…