To win souls of secular crowd and benefit your mission. play intensity. this is the law.Out of curiousity_Che quavara naye alikua atheist...?
Thanks in advance.Read the book called Atheist Witchcraft by Heather D. Roberts.
Halafu mkuu roho inaishi ndani ya mwili hai tu. Mwili ukipoteza uhai kwa ajali au maradhi roho nayo inapotea(cease to be). Nina maana roho haiwezi kuwepo nje ya mwili. Wale wanaojilipua ili roho zao ziende mbinguni ni porojo tu, wanakua tu dead meat.Mkuu Ishmaeli, jina kama la yule mwanaharam wa ...,
Naomba nikurudishe kidogo kwenye creation,
Pasco
- Mungu alimuumba Adam na Eva/Hawa kwa mfano wake "sisi we as the same being as God!.
- Baada ya kutuumba, akatupulizia pumzi ya uhai "life force" into us, into our bodies, hivyo pumzi ya uhai ndio Roho ya Umungu "Gods Spirit" ilio ndani yetu na ndani ya kila mmoja wetu, "Omnipresence"
- Kila Binadamu mwenye "uhai" ana Mungu ndani yake!. Huu "uhai" ndio Gods Spirit, Holly Spirit, "will power" na spiritual being "I"
- Whether ones believes in God or not as long as s/he is alive, has God in h/im/er!.
- Ile "I" ndio God mwenyewe!, I believe in "I" , The Supreme Being!, call him what you may, God, Lord, Mungu, Mulungu, Mkama, Jah, "I" etc, etc its all the same!, its the "power" that matters not the name!.
MATUNDA YA UPEPARI........!?
bro nafikiri ungenisaidia kwa kunipa source ya knowladge yako b it a book,site o something...Please
It seems you don't know that communism and non theism is the same thing. Both denies God. Both hates religion. Both kills Christians. Both destroy the beauty of the earth.
You are wrong once again. I don't believe in ghosts and or negative deity. I follow the who created you. MY GOD CREATED YOU.
1.We have made the earth somehow a better place to live and we are on our way to kill your onl remain god(unseen god)!,coz we have already killed many of your traditional gods,god of the sun,god of the moon,god of stars and so on.
2.We have made you people(believers of non existing god ) to think twice about your god`s ideas and showed you that the Universal has a simple beginning which does not require a creator and can simply explained,thats y many of you are now on our side.
3.We make experiments,Analysis,Proves,we require evidences,we make taste and so on.We dont assume like you.
4.Haya jitetee.
Bold-Kudai Mungu hayupo sio assumption?
Kama sio assumption leta ushahidi hapa kuwa hayupo!
Many people mistakenly perceive atheism as satanism, but in reality, they are two different things. Satanism acknowledges the presence of God but chooses to go the other way, while Atheism doesn't acknowledge the presence of God at all. Therefore, Atheism is not Satanism.
ok, nimeshaelewa tatizo lako, KUSOMA KITABU KIMOJA TU,KILICHOANDIKWA NA VILAZA WA ENZI HIZO! Hauwezi kuwa na mawazo huru kama umejifungia ndani ya box na hautaki kutoka uone yaloiyo nje, hiyo ndiyo dunia yako, imekutia upofu hauamini kama kuna mwanga nje! walioniumba mimi ni baba na mama, kama wewe unaamini kuwa uliumbwa na mzimu uitwao mungu wakati unawaona kabisa wazazi wako basi utakuwa na matatizo ya akili!
Asante Kaunga.Shetani anatumia njia mbili kuu ktk kufanya kazi yake ambayo ni kuwavuta watu kwake iwe kwa kupenda au kutokupenda.
1. Kuonesha yeye shetani hayupo (hii inawakumba atheists) au hata kama yupo hana madhara (hii inawakumba waamini walio wasomi na mara nyingi vuguvugu)
2. Kuonesha kuwa ana power sana na ni source ya power zote duniani. (Hii huwakuta wote watafutao utajiri, vyeo na madaraka ya kisiasa kwa ushirikina)
Source: Pengo (tafakuri yake)
Sio assumption
The burden is on both sides. Bado hayo ni madai kwasababu wewe huwezi kuwa na jibu ambalo SIO TEGEMEZI kutoka kwa Theism. Ndio maana hata IMANI yako ya NON THEISM ni TEGEMEZI kwa THEISM.Hakuna ushahidi kwa kitu/mtu ambacho HAKIPO,bali ushahidi upo kwa kitu KILICHOPO ama kinachoelezeka,kupimika n.k.
Anayetakiwa kuleta ushahidi ni wewe unaedai KIPO/YUPO.
Free ideas njoo hapa ujibu hii argument.The reason for world war I was to establish atheism in USSR