Ishmael
JF-Expert Member
- Oct 18, 2011
- 15,039
- 6,017
- Thread starter
- #121
Dispute with evidence and not vain words.Sawa lakini nahisi umesahau kwamba hata hao waliokwambia kwamba kuna kitu/mtu anaitwa mungu walianza pia kwa kuabudu mizimu.Lakini ni vizur ukaleta ushahidi kwamba wewe una mungu wa kweli na uthibitishe hala kwamba yupo