Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
God exist
jesus is real & there are one body
also we are body of class.
..
Very poor replyempirically young man
Lete uthibitisho.Mungu,shetani,majini,roho na kila kinachoendana na hivyo ni vitu vya kufikirika.Hakuna ushahidi mwenye ushahidi alete hapa.
Lete uthibitisho.
Sasa hayo ndio umeona ndio maswali ya maana?
Hadithi hadithi, hapo kale alikuwepo Mungu na mwanae, lakini mwana na Baba ake walikuwa pamoja tokea siku ya mwanzo.
sasa huo ndio ile tunaita usukule au uzuzu.
Umeshajiuliza wewe mkata majani kwa bulldozer hao ni ndugu pacha au Baba na mwana?
Huyo jamaa ni mtupu na hajui anacho kitetea. Jamaa Free ideas ni mfuata MkumboUkiwa Free ideas huwajibiki kutoa ushahidi wa chochote unachoropoka, wajibu wa kutoa ushahidi ni wa yule anayepinga free ideas, kwani waweza kudai ushahidi wa kile waropokacho wale wenye free uncontrolled ideas ?
The same to any human being whose moral's are resulting of his/her DNA dancing...
Very poor reply
Anything that is against God or Jesus Christ is satanic. So with this simple sentence it is right to declare that atheism is satanism. These are inseparable, they are two sides of a coin>
Huyo jamaa ni mtupu na hajui anacho kitetea. Jamaa Free ideas ni mfuata Mkumbo
Hapo ndipo huwa namshangaa sana. Atakuja na dai, halafu huta mwona tena mpaka msahau, ndio anarudi na dai lingi. Cha ajabu zaidi, yeye anataka uthibitisho wako lakini yeye hana uthibitisho wa anacho kiamini. Jamaa Free ideas ni mtupu kabisaNi kweli Mkuu.hawezi kutafakari Kama yeye anajiegemeza kwa wengine
Anaogopa kujibu maswali hata kwa hoja anazosimamia
Non sequitur
Challenge to non theists: Prove that there is no Satan.
Nothing less is acceptable. Go ahead. Face the challenge.
So, why are you saying Satan does not exist if you do not have any proof?There is no proof is evidence i can give about Satan because the concept of Satan is not a scientific concept.
What i can give only reasons, logical reasons only.
I am also sure you cannot give proofs or evidences of the existence of Satan.
I am also sure you cannot even give the logical reasons of the existence of Satan
I am shocked how could you asks for proofs.
So, why are you saying Satan does not exist if you do not have any proof?
There is a difference between facts, impeccable facts, et al and reality. You don't need facts to comprehend Satan, in contrast, you need evidence.Satan is a concept young man,how could you ask for the proof.is satan a scientific fact?
Your question was absolutely meaningless. The question had no meaning.
Does flying horse exists?
There is a difference between facts, impeccable facts, et al and reality. You don't need facts to comprehend Satan, in contrast, you need evidence.
You can not give me a fact that you are a human being but evidence, inter-alia, you can not prove to me that you exist.
It is like this, you can not prove to me that Hitler existed, but you can only give me evidences of his existence. That is is why I always say, Non theists are mindless.