Is Atheism Satanism?

Is Atheism Satanism?

Nimejifunza mengi sana hapa, nilizaliwa na kulelewa kama muslim na wazazi wangu lakini tunavyokuwa na kujitegemea na kujifunza mengi njee ya formal education, nilianza kuwa na doubt kama kweli Mungu yupo, sasa hivi mimi sijielewi, niko saa zingine ndani ya dini saa zingine najipata najadiliana na watu kama atheist. Ninachokiamini ndani yangu ni kuwa, all that matters in this world is how we treat each other, bora tu mtu anatenda wema, haijalishi kama anaswali msikitini, kanisani ama kwenye mahekalu, anafaa kwenda mbinguni (if it exists) hayo mengine sijui ni swali mara tano, niende kanisani jumapili ni mbwembwe tu. Lets be good people, help the downtrodden, foster peace and we will be better than most.
Sasa, nitafanyaje ili niweze kuwa Mtu Mzuri
 
Atheist hawezi kuwa satanist, Satanist sio atheist kwani naye anaamini certain deity ndiye sahihi au supremacy. Hivyo hawezi kuwa atheist.
 
Atheist hawezi kuwa satanist, Satanist sio atheist kwani naye anaamini certain deity ndiye sahihi au supremacy. Hivyo hawezi kuwa atheist.

In short, they do consciously embrace a god -- and it is "the self". Unfortunately many of them do not simply reject Christianity and proceed to mind their own business; they invest their energy in indoctrinating others into their viewpoints. Some, in fact, become evangelical in their fervor and aggressive in their approach. They clearly and desperately want adepts and they will invest time and money to accomplish their aim.
 
Atheist hawezi kuwa satanist, Satanist sio atheist kwani naye anaamini certain deity ndiye sahihi au supremacy. Hivyo hawezi kuwa atheist.

you go to check meanings of words so that you may ask meaningful questions

Non theism is a diabolical philosophy that emanates from Satan. It leads to abandoning the true God and to idolizing the self.
 
I know both of the words and how non theists and Satan work together. It is you who denies the existence of Satan without evidence. It is you who denies the existence of God without evidence.
You do not understand young man. I think you do not know what you are saying.
 
You do not understand young man. I think you do not know what you are saying.
Talking of the devil. Show me the evidence young man. Ahhhm ahhhm ahm let me see....., you can't.
 

Non theism is a diabolical philosophy that emanates from Satan. It leads to abandoning the true God and to idolizing the self.

I don't understand that, there is a difference between Satanism and Atheism (but they are similar somehow). I am not talking with the Christianity/Muslim's View on Satanism but I am talking about Satanism of occult (Notably by Anton LaVey and Alester Crowley's philosophy on satanism), an independent philosophy.
 
I don't understand that, there is a difference between Satanism and Atheism (but they are similar somehow). I am not talking with the Christianity/Muslim's View on Satanism but I am talking about Satanism of occult (Notably by Anton LaVey and Alester Crowley's philosophy on satanism), an independent philosophy.
The Muslim Satan is not the same as the Christian one. In fact, Satan in Christianity is a deity of Islam, in contrast, non theists are Satanist by default. The attributes found in Satan are in non theism, to wit
 
Hukimbii ,unakata kona tu ili kwenda kwenye biashara ya mapepo kwenye nyumba za Paulo.
Nonda, hii lazima ikunyime usingizi weye.

SHETANI ATEREMSHA AYA ZAKE KWENYE KURUANI NA KUKIRI KUWA ALLAH NDIE MOLA WAKE MLEZI

1. Shetani akiri kuwa Allah ni Mola wake Mlezi.
2. Asema Allah ndie aliye mfundisha kutenda dhambi.
3. Asema na yeye atafanya maovu aliyofundishwa na Allah kwa Binadamu
4. Tabia za Shetani na Allah zafanana

Surah Al Hijr 39.
Shetani akasema: Mola wangu Mlezi! Ilivyo kuwa umenitia makosani, basi nahakikisha nitawazaini hapa duniani na nitawapoteza wote,

[Sûrah al-A`râf: 16-17], [Sûrah al-Isrâ’: 62] ,
Kumbe Shetani na yeye aliteremsha aya zake kwenye Koran.
 
Last edited by a moderator:
Nonda, hii lazima ikunyime usingizi weye.

SHETANI ATEREMSHA AYA ZAKE KWENYE KURUANI NA KUKIRI KUWA ALLAH NDIE MOLA WAKE MLEZI

1. Shetani akiri kuwa Allah ni Mola wake Mlezi.
2. Asema Allah ndie aliye mfundisha kutenda dhambi.
3. Asema na yeye atafanya maovu aliyofundishwa na Allah kwa Binadamu
4. Tabia za Shetani na Allah zafanana

Surah Al Hijr 39.
Shetani akasema: Mola wangu Mlezi! Ilivyo kuwa umenitia makosani, basi nahakikisha nitawazaini hapa duniani na nitawapoteza wote,

[Sûrah al-A`râf: 16-17], [Sûrah al-Isrâ’: 62] ,
Kumbe Shetani na yeye aliteremsha aya zake kwenye Koran.


Link Surat Al-Ma'idah [5:116] - The Noble Qur'an - ?????? ??????

And [beware the Day] when Allah will say, "O Jesus, Son of Mary, did you say to the people, 'Take me and my mother as deities besides Allah ?'" He will say, "Exalted are You! It was not for me to say that to which I have no right. If I had said it, You would have known it. You know what is within myself, and I do not know what is within Yourself. Indeed, it is You who is Knower of the unseen.
 
The Muslim Satan is not the same as the Christian one. In fact, Satan in Christianity is a deity of Islam, in contrast, non theists are Satanist by default. The attributes found in Satan are in non theism, to wit

No wonder you have a human being in Christianity that you consider to be God.
 
No wonder you have a human being in Christianity that you consider to be God.
JESUS 100% God and 100%Man,

Allah hawezi kufanya haya. Your deity is LIMITED.
 
Link Surat Al-Ma'idah [5:116] - The Noble Qur'an - ?????? ??????

And [beware the Day] when Allah will say, "O Jesus, Son of Mary, did you say to the people, 'Take me and my mother as deities besides Allah ?'" He will say, "Exalted are You! It was not for me to say that to which I have no right. If I had said it, You would have known it. You know what is within myself, and I do not know what is within Yourself. Indeed, it is You who is Knower of the unseen.
Naona Allah anadai kuwa Maria ni Mungu, huu sasa ni MSIBA kwa Allah
 

Non theism is a diabolical philosophy that emanates from Satan. It leads to abandoning the true God and to idolizing the self.

It might be true if you have invented your own language because as far as English language is concerned, what you described above is rubbish,absolutely rubbish.
 
Back
Top Bottom