Is chagonja and his wife credible? U must read here

Is chagonja and his wife credible? U must read here

mwaikenda

JF-Expert Member
Joined
Mar 26, 2011
Posts
903
Reaction score
143
WAKUU:

1. Mtakumbuka kuwa hapa nchini kulikuwa na kashfa ya mke wa kamishna wa polisi mwandamizi aliyejipatia kipato kwa kuwalaghai vijana nchini kuwa watoe pesa ndiyo awatafutie ajira usalama wa taifa na katika jeshi la polisi. mke huyo ni wa chagonja lakini kwa kuwa nchi hii inaendeshwa kibabe suala hili limezimwa naomba chadema watakapo chukua nchi suala hili waanze nalo kwani ni kosa la jinai na halina limitation of time kama kosa la madai.( kujipatia mali kwa njia ya udanganyifu haliangukii katika law of limitataion act 1971).

2. Chagonja ndiye alipotosha kifo cha mwangosi na kusema mwangosi alipigwa na kitu chenye ncha kali na kizito kilichorushwa toka upande wa pili.... kwa maana ya chadema theni baadaye wakamkamata polis aliyemuua mwangosi na kumshtak( alilopoka kwa lengo la kulisafisha jeshi la polisi dhid ya mauaji) iringa sasa hivi kesi haikjulikani imefikia wapi kwani nchi hii ni ya kulindana.

3. Waliokuwa wapangaji maeneo ya kurasini katika kota za TBA ambapo kuna wapangaji walifukuzwa bila notisi kama sheria inavyo taka hata walipo enda polisi wakaambiwa kuwa pale pana mkono wa mtu ambaye ni kamishina wa jeshi ambaye ni Chagonja na ,mpaka sasa wapangaji wale wametimuliwa

3. Ugonjwa wa manumba ni njama za kusaka madaraka wa kuulizwa ni chagonja pia ( kuna uhusianao mkubwa wa ugonjwa wa manumba na Chagonja).

my take. Mtu huyu hana cerdibility ya kuwa kiongozi wa tume kwa matukio hayo hapo juu kama mpaka mke wake katapeli hela za watu theni kesi haijulikan imefikia wapi. KUNAHITAJIKA MTU WA KUIFORMAT NCHI HII KWA KUDELETE MAFAIL YOTE.
 
WAKUU:
1. Mtakumbuka kuwa hapa nchini kulikuwa na kashfa ya mke wa kamishna wa polisi mwandamizi aliyejipatia kipato kwa kuwalaghai vijana nchini kuwa watoe pesa ndiyo awatafutie ajira usalama wa taifa na katika jeshi la polisi. mke huyo ni wa chagonja lakini kwa kuwa nchi hii inaendeshwa kibabe suala hili limezimwa naomba chadema watakapo chukua nchi suala hili waanze nalo kwani ni kosa la jinai na halina limitation of time kama kosa la madai.( kujipatia mali kwa njia ya udanganyifu haliangukii katika law of limitataion act 1971).

2. Chagonja ndiye alipotosha kifo cha mwangosi na kusema mwangosi alipigwa na kitu chenye ncha kali na kizito kilichorushwa toka upande wa pili.... kwa maana ya chadema theni baadaye wakamkamata polis aliyemuua mwangosi na kumshtak( alilopoka kwa lengo la kulisafisha jeshi la polisi dhid ya mauaji) iringa sasa hivi kesi haikjulikani imefikia wapi kwani nchi hii ni ya kulindana.

3. Waliokuwa wapangaji maeneo ya kurasini katika kota za TBA ambapo kuna wapangaji walifukuzwa bila notisi kama sheria inavyo taka hata walipo enda polisi wakaambiwa kuwa pale pana mkono wa mtu ambaye ni kamishina wa jeshi ambaye ni Chagonja na ,mpaka sasa wapangaji wale wametimuliwa

3. Ugonjwa wa manumba ni njama za kusaka madaraka wa kuulizwa ni chagonja pia ( kuna uhusianao mkubwa wa ugonjwa wa manumba na Chagonja).
 
Haahaaaa huo ulaji wa dpp mkuu uweke sawa wamalize kazi mahakaman dpp tamu nyie loh
 
WAKUU:
1. Mtakumbuka kuwa hapa nchini kulikuwa na kashfa ya mke wa kamishna wa polisi mwandamizi aliyejipatia kipato kwa kuwalaghai vijana nchini kuwa watoe pesa ndiyo awatafutie ajira usalama wa taifa na katika jeshi la polisi. mke huyo ni wa chagonja lakini kwa kuwa nchi hii inaendeshwa kibabe suala hili limezimwa naomba chadema watakapo chukua nchi suala hili waanze nalo kwani ni kosa la jinai na halina limitation of time kama kosa la madai.( kujipatia mali kwa njia ya udanganyifu haliangukii katika law of limitataion act 1971).
2. Chagonja ndiye alipotosha kifo cha mwangosi na kusema mwangosi alipigwa na kitu chenye ncha kali na kizito kilichorushwa toka upande wa pili.... kwa maana ya chadema theni baadaye wakamkamata polis aliyemuua mwangosi na kumshtak( alilopoka kwa lengo la kulisafisha jeshi la polisi dhid ya mauaji) iringa sasa hivi kesi haikjulikani imefikia wapi kwani nchi hii ni ya kulindana.
3. Waliokuwa wapangaji maeneo ya kurasini katika kota za TBA ambapo kuna wapangaji walifukuzwa bila notisi kama sheria inavyo taka hata walipo enda polisi wakaambiwa kuwa pale pana mkono wa mtu ambaye ni kamishina wa jeshi ambaye ni Chagonja na ,mpaka sasa wapangaji wale wametimuliwa
3. Ugonjwa wa manumba ni njama za kusaka madaraka wa kuulizwa ni chagonja pia ( kuna uhusianao mkubwa wa ugonjwa wa manumba na Chagonja).
my take. Mtu huyu hana cerdibility ya kuwa kiongozi wa tume kwa matukio hayo hapo juu kama mpaka mke wake katapeli hela za watu theni kesi haijulikan imefikia wapi. KUNAHITAJIKA MTU WA KUIFORMAT NCHI HII KWA KUDELETE MAFAIL YOTE.

Nina Amini kuwa wapo wanaokesha wakiomba ili Mungu adhihirishe ni nani yuko nyuma ya ushenzi huu. Mojawapo ya dalili tunazoziombea ni kwamba MUNGU atuonyeshe wahusiaka kupitia kauli zao maana hata ikundwa tume hatupati majibu sahihi.

Zipo kauli ambazo unaweza kusilinganisha kutoka kwa watendaji wa serikali na wa chama tawala,
1. Kauli ya Mh. Lukuvi Bungeni siku moja tu baada ya bomu kurushwa
2. Kitendo cha Bunge kuendelea wakati wananchi wameuawa kinyama inaonyesha kuwa wala vifo hivyo si lolote na wanajua vimetokeaje
3. Kauli ya Serukamba, Ole Sendeka, Wassira, Mwigulu, Pinda, bungeni,
4. Kauli za Mulongo
5. Kauli za Chagonja
6. Kauli za Nape

Tunawahakikishia kwamba mpaka wiki 2 ziishe Mungu atakuwa ametunyesha majibu ya dhahiri shairi ambayo hakuna atakayeyapinga
 
Chagonja inabidi amulikwe wananchi wamjue rangi yake.
 
huyu bwana anapaswa kuwekwa hadharani upuuzi wake anaetufanyia...
 
Ugonjwa wa Manumba unajulikana. Nenda Brake Point pale opposite na Millenium Towers Hotel utamkuta binti ambaye atakupatia maelezo mazuri ya ugonjwa unaomsumbua Manumba.
Simtetei Chagonja, ila kuna taarifa za utapeli kwa kutumia majina ya watu fulani kutokana na nafasi walizonazo kwenye jamii. Nadhani itakuwa busara kwetu kujadili yale mambo yanayotujemga.
 
Umenena vyema mkuu!huyu jamaa kakaa kisanii mno,mda wote anawaza kupiga dili tu kwa kutumia office yake.Tatizo ni kubwa zaidi ya tunavyoliona,mfumo mzima una matatizo.
 
chagonja is not credible man in ths counrty
 
chagonja afaa kuwa propagandist wa CCM !!! kumbuka tafsiri ya propaganda ni uongo,nusu ukweli,isiyo halisi kwa lengo la kimslahi kwa mtoaji wa hiyo propaganda(uelewa wangu)
 
Back
Top Bottom