Is Feisal Salum ''Feitoto'' overrated?

Ukiwa na jicho la kiufundi utaelewa nini ally amemanisha ila kiushabiki utaona kama ameandka story
 
Naunga Mkono Hoja [emoji137]‍♂️[emoji137]‍♂️

TOO OVERRATED
 
Mlimpeleka mlevi afcon akacheze namba ya mkude

Wengi mlijua ni piere lakini piere hakulipiwa na Tff wala hakucheza namba ya mkude
Hivyo mlevi aliecheza namba ya mkude ni fei alieanguka Mara 8 katika dakika 32 za kwanza
 
Alikamwe amezungumza vyema, Feisal anapaswa kuongeza juhudi kwa kasi ana vitu ambavyo ukitazama unaona anashindwa kuvitumia, Sasa ukimpaisha zaidi Ndio wamdumaza
 
Gift mauya ni bora kuliko huyo mpemba.Kuna yule mwingne anaitwa ndemla yuko pale mikiani,wanamsifia kwa kupga mashuti lakni yote yanaenda nje.
Mimi ni simba lakini ndmla ana papara sana ndio sababu inawezekana ana short off target nyingi kuliko mchezaji yoyote katika vpl
 
Ajifunze kwa muzamir
 
Hili nilidhani naliona peke yangu namna feisal anavyozungumzwa na mashabiki wa yanga na uhalisia wa kiwango chake ni vitu viwili tofauti dogo ana uwezo wa kawaida sana ila huenda ana kipaji kikubwa hivyo anapaswa aongeze juhudi kuwa bora zaidi, Ali kamwe kaandika kwa nia ya kumjenga japo si wote watatafsiri hivyo
 
Ali Kamwe kijamaa kina ndonga kama mzinga wa nyuki...kila timu na style yake ya kucheza..kiungo wa Barca atapiga pass nyingi kuliko kiungo wa Madrid...hivyo hivyo kiungo wa Simba atapiga vishort passes vingi kuliko wa Yanga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…