Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Yule tajiri namba moja duniani Bwana Jeffrey Bezos amesema kuwa alitwanga kwa kipindi cha miaka mitano kabla ya kuanza kupata unga kwa mbali.nacut and paste key point, antcipate the decision made by those who run the ECN networks, kwa kutumia whatever methodology aidha uchawi,hesabu,imani,ujanja,umbea n.k ndipo unakuwa na probabilty kubwa ya kushinda, kujifunza kumjua binadamu bubu anafikiria nini rohoni mwake pasipo kuongea ni elimu ngumu sanaa , nayenyewe iheshimiwe, mtu ukimuona anatengeza pesa yuko kitandani sio kazi rahisi, ni mental works sometime dish linaweza yumbaa, watu wanajua tu physcal works ndo legally, ahaaaa!
go and learn types of works(civics kidato cha pili)
what are categories of mental works
malizia na physical works
utaona speculation is mental works, mtu anafanya kazi akiwa kakodoa macho tu unamuona katulia kumbe kichwani mwake kuna vita inafanyika, akili imepewa atask ya kujua what banks do in their cash ocean akiri inafikri hadi lastic limit, inakuambia nimeshindwa mr, unaikomand tena unaimbia jalibu tenaa sometimes unaiweka katika risk ya kushake, na ukishake teali kichaa so unatumia akili nyingi than normal
the market move due to supply and demands making decision
I LOVE FOREX , ingawa am not profitable
Changamoto kubwa ya hawa watu wa forex ni kwamba wanajifunza kwa muda mfupi na kwa tamaa kubwa mambo magumu na kuanza ku-pretend kutrade mambo ambayo hawayajui badala ya kuwekeza muda wao na akili zao katika kutwanga.Kupata unga kwa kutwanga haijawahi kuwa kazi rahisi na ya tamaa.