hakuna uchawi
JF-Expert Member
- Feb 15, 2018
- 661
- 677
ni ngumu sana kumuwangia mmakonde,narudia tena ni ngumu sana kumuwangia mmakonde yoyote yule duniani
madeni yapi hayo?Alipe madeni ya watu huyo
Ahaaaaaaaaaah afu ulivyo mbulula umekimbilia tu kwenye billiboard but taja wimbo alioingiza burnaboy hata mmoja,DIAMOND>THAN ALL NIGERIA ARTIST TAKATAKA HIZO NA WEWE NI PUNGA SQUARE CALM DOWN DOGO
Ahaaaaaaaaaah afu ulivyo mbulula umekimbilia tu kwenye billiboard but taja wimbo alioingiza burnaboy hata mmoja,DIAMOND>THAN ALL NIGERIA ARTIST TAKATAKA HIZO NA WEWE NI PUNGA SQUARE CALM DOWN DOGO
Mond anatoboa anga IPI? Wakati hajawa nominated bet kitambo na sijui km atakuwa nominated tena? Wakati shoh madjozi kawa nominated na kachukua tuzo,enzi zile za my no1,remix alikuwa the same level na davido wanapiga show wote same stage Leo hii wenzake wanapiga shoe o2 arena na wanajaza he's nowhere to be found miaka hiyo ngoma zake zilikuwa namba moja trace_MTV n.k Leo hii hata harufu ya ngoma zake hazisikikiLini davido aliwah kuwa level moja na mond?
Mond amekwama? Angalia anavyotoboa anga wewe kenge wa kijan
Mond anatoboa anga IPI? Wakati hajawa nominated bet kitambo na sijui km atakuwa nominated tena? Wakati shoh madjozi kawa nominated na kachukua tuzo,enzi zile za my no1,remix alikuwa the same level na davido wanapiga show wote same stage Leo hii wenzake wanapiga shoe o2 arena na wanajaza he's nowhere to be found miaka hiyo ngoma zake zilikuwa namba moja trace_MTV n.k Leo hii hata harufu ya ngoma zake hazisikiki
Fact kaka mkubwaPlatnumz hafai huyu mtu jamani mkatae mkubali lakini ukweli ndo huo
Kweli ni mzee mkavu hata ubongo wako umekauka nakwambia rudi memkwa.Most views YouTube million 800 daah kweli wewe ukemaliza four juzi .. million 60 hajafikisha... Bsc.ANEB,
hakuna la ziada mziki ni wa mtu mmoja unaohusisha watu watatu na media mbiliNyuzi za jf skuizi ni za Mond, konde, na kiba dah maisha yanaenda kasi sana
ukiongelea swala la nominees katika tuzo hzo hata hao wasanii unaowaona wakubwa hawajaingia kitambo sasa same too Diamond zaidi ya burnaboy anaechipukiaMond anatoboa anga IPI? Wakati hajawa nominated bet kitambo na sijui km atakuwa nominated tena? Wakati shoh madjozi kawa nominated na kachukua tuzo,enzi zile za my no1,remix alikuwa the same level na davido wanapiga show wote same stage Leo hii wenzake wanapiga shoe o2 arena na wanajaza he's nowhere to be found miaka hiyo ngoma zake zilikuwa namba moja trace_MTV n.k Leo hii hata harufu ya ngoma zake hazisikiki
naomba nielekeze namna ya kununua viewers.....Kwahiho unampima kwa views za youtube kweli? Hujui kama views zinanunuliwa?
mmmmh ingekuwa hvyo hakuna nyimbo ya msanii bongo ingekuwa na viewers chini hata ya laki tano , kwa namna wanavyopenda sifa.Hakuna cha between the lines.. Umecompare nyimbo zake mbili kwa kulinganisha views, unataka nijue logic ipi hapo?
Hizo views milion hata mm nikizitaka nazipata ni suala la kuboost tu either kwa adword au fb ads..
Sasa wabongo mnakaa mnapaparika na views za youtube..
Njoo na facts za kueleweka ili utetee hicho ulichoandika ila sio hizo views, maana hata huyo Diamond anaboost/nunua views sana tu!
subiri mwanangu ntakupa majibu nnataka tufanye biashara aniongezee viewers kwenye nyimbo yangugwankaja, Mbona wengine hawanunui,sasa kama ni kwa fb ads au ujui maana ya ads ni advertisements ko logic yako ni ipi acha kukalili maisha