Is Harmonize a yesterday news?

Is Harmonize a yesterday news?

Lete ushahidi .. mkuu diamond kulingizaa nyimbo Billboard usiongeee maneno matupuu .. eti kaingizaa nyimbo ...Billboard lamda ya bongo lete ushahidi mkuu.. Bsc.ANEB,
 
Qwy, Usikariri elewa juhud za mtu kupush ngoma yake angalia vido utaelewa
 
Burnboy
Ahaaaaaaaaaah afu ulivyo mbulula umekimbilia tu kwenye billiboard but taja wimbo alioingiza burnaboy hata mmoja,DIAMOND>THAN ALL NIGERIA ARTIST TAKATAKA HIZO NA WEWE NI PUNGA SQUARE CALM DOWN DOGO
Screenshot_20191124-222238_Samsung%20Internet.jpeg
 
Huyo ni rema .. miaka 19 .. tu huko Tokyo
Ahaaaaaaaaaah afu ulivyo mbulula umekimbilia tu kwenye billiboard but taja wimbo alioingiza burnaboy hata mmoja,DIAMOND>THAN ALL NIGERIA ARTIST TAKATAKA HIZO NA WEWE NI PUNGA SQUARE CALM DOWN DOGO
20191124_223425.jpeg
20191124_223403.jpeg
 
Lini davido aliwah kuwa level moja na mond?
Mond amekwama? Angalia anavyotoboa anga wewe kenge wa kijan
Mond anatoboa anga IPI? Wakati hajawa nominated bet kitambo na sijui km atakuwa nominated tena? Wakati shoh madjozi kawa nominated na kachukua tuzo,enzi zile za my no1,remix alikuwa the same level na davido wanapiga show wote same stage Leo hii wenzake wanapiga shoe o2 arena na wanajaza he's nowhere to be found miaka hiyo ngoma zake zilikuwa namba moja trace_MTV n.k Leo hii hata harufu ya ngoma zake hazisikiki
 
Tuzo inayombeba mpaka Leo ni mtv tu ..
Mond anatoboa anga IPI? Wakati hajawa nominated bet kitambo na sijui km atakuwa nominated tena? Wakati shoh madjozi kawa nominated na kachukua tuzo,enzi zile za my no1,remix alikuwa the same level na davido wanapiga show wote same stage Leo hii wenzake wanapiga shoe o2 arena na wanajaza he's nowhere to be found miaka hiyo ngoma zake zilikuwa namba moja trace_MTV n.k Leo hii hata harufu ya ngoma zake hazisikiki
 
Most views YouTube million 800 daah kweli wewe ukemaliza four juzi .. million 60 hajafikisha... Bsc.ANEB,
 
Nyuzi za jf skuizi ni za Mond, konde, na kiba dah maisha yanaenda kasi sana
hakuna la ziada mziki ni wa mtu mmoja unaohusisha watu watatu na media mbili
Diamond
Harmonize
Alikiba
waweza ingeza clouds
 
Mond anatoboa anga IPI? Wakati hajawa nominated bet kitambo na sijui km atakuwa nominated tena? Wakati shoh madjozi kawa nominated na kachukua tuzo,enzi zile za my no1,remix alikuwa the same level na davido wanapiga show wote same stage Leo hii wenzake wanapiga shoe o2 arena na wanajaza he's nowhere to be found miaka hiyo ngoma zake zilikuwa namba moja trace_MTV n.k Leo hii hata harufu ya ngoma zake hazisikiki
ukiongelea swala la nominees katika tuzo hzo hata hao wasanii unaowaona wakubwa hawajaingia kitambo sasa same too Diamond zaidi ya burnaboy anaechipukia
labda nikumbushe ww ni lin mara ya mwisho tuzo alizoingia Davido or wizkid ambazo Diamond hajaingia
kama ulikua hujui Katika hizi tuzo msanii mwenyewe ndie hupeleka kazi zao thats why mara nyingi unakuta wasanii chipukizi ndo hutawala kwenye nominations
 
Hakuna cha between the lines.. Umecompare nyimbo zake mbili kwa kulinganisha views, unataka nijue logic ipi hapo?
Hizo views milion hata mm nikizitaka nazipata ni suala la kuboost tu either kwa adword au fb ads..
Sasa wabongo mnakaa mnapaparika na views za youtube..
Njoo na facts za kueleweka ili utetee hicho ulichoandika ila sio hizo views, maana hata huyo Diamond anaboost/nunua views sana tu!
mmmmh ingekuwa hvyo hakuna nyimbo ya msanii bongo ingekuwa na viewers chini hata ya laki tano , kwa namna wanavyopenda sifa.
ila we inaonesha ni mtaalam naomba unisaidie nnanyimbo yangu nataka viewers laki tano tu kama hutojali nitafute ntakulipa kwenye email hii Herman joshua47@gmail.com npo seriously
 
Back
Top Bottom