gonamwitu
JF-Expert Member
- Feb 16, 2018
- 2,187
- 2,794
Ni kweli but trust me ngoma hii angeitoa wakati yuko wcb ingekuwa ndo hit ya dunia mmngeanzisha na thread kuja kumsifia na kumfananisha na kina wizkid na davido kwakua hayupo TENA wcb ngoma inaonekana bokoKiukwel hi kazi aliyotoa imemuangusha Sana plus na management yake ni majanga me naona huyo jembe ni jembe anakula tu pesa ya mmakonde bure.