Is Harmonize a yesterday news?

Is Harmonize a yesterday news?

Kiukwel hi kazi aliyotoa imemuangusha Sana plus na management yake ni majanga me naona huyo jembe ni jembe anakula tu pesa ya mmakonde bure.
Ni kweli but trust me ngoma hii angeitoa wakati yuko wcb ingekuwa ndo hit ya dunia mmngeanzisha na thread kuja kumsifia na kumfananisha na kina wizkid na davido kwakua hayupo TENA wcb ngoma inaonekana boko
 
kununua views ni neno linalotumiwa sana na waliozidiwa, imagine kungekua na mchezo huo wasanii wa tz wanavopnda sifa video zao zingekua na views 100+ bt kwa kua haiwezekani lazma wanaozidiwa waseme hivo...
kuna video ngap za mond zinaviews chin ya million10? je hakutaka kuziboost apate sifa? jiulize kungekua nakununua views uno ingefanyiwa pro yote ile?
tuzitumie akili zetu kufikiria vizuri tusihadaike na wanachotuaminisha wazidiwa views
 
yuzazifu,

Mtu ambaye ana subscribers 2m+ hawezi kushindwa kufikisha 1m+ viewsNDANI ya siku MOJA au mbili coz subscribers wapo relevant na views japokuwa SIO rahisi WOTE kutazama video but wengi watatizama
 
Bsc.ANEB, labda watueleze ya kuwa na hao followers wake kwenye social media amewanunua pia.

wangine wanaamini ananunua followers kwakuwa wamesikia Kiba akisema hivyo. Hivi Diamond anapesa gani ya kuwafanya You Tube waharibu credibility yao kwa kudanganya kwenye idadi ya views, hata kama kuna uwezo wa ku hack system yao watakubaini na itakuletea matatizo.

Diamond hawezi kujiingiza kwenye kuharibu credibility aliyoipata kwa kupitia milima na mabonde kwa takriban miaka kumi.
 
Yaani sijui dogo aliwaza nini kwenda kwenye management kama hiyo. Kama mjanja aipige chini faster imeshashindwa kazi.
Uno imeondolewa na wanaonekana hakuna hatua zozote ambazo walichukua kumalizana na yule mkenya mapema mpaka mambo yakawa wazi.
Jembe ndio atamuua huyu dogo kimuzik
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Anawaumiza kichwa eeh? Hakauki vichwani mwenu[emoji1745][emoji1745]
 
Wewe nawe huna ulijualo.. Et ananunua kwa nani [emoji2][emoji2][emoji2]...
Kukusaidia tu, fb, Google na ads network nyingine wanauza traffic unanunua kadri unavyoweza!!
You're so naive either una ugumu wa uelewa au ushabiki wa kitoto, ukiangalia idadi ya followers alionao Diamond lazima hata akitoa wimbo upate views nyingi.
Haters huwa wapo so no shit surprises me, dogo anafanya tamasha(Wasafi festival) at that magnitude na bado mtu anajifanya kushangaa kwanini anapata views nyingi always.
Ukiangalia impact yake kwa kila alifanyalo kwenye jamii, hata media za burudani ukifuatilia trend zao utaona zinavyitumia jina la Diamond sana zikijua ndiyo habari zinazouza zaidi.
 
Yaani sijui dogo aliwaza nini kwenda kwenye management kama hiyo. Kama mjanja aipige chini faster imeshashindwa kazi.
Uno imeondolewa na wanaonekana hakuna hatua zozote ambazo walichukua kumalizana na yule mkenya mapema mpaka mambo yakawa wazi.
[emoji16][emoji16] si unajua neno ningejua huja mwisho wa safari,,, huyu mwakan lazima akimbilie kweny siasa ndio atakapo ponea huko
 
Ni kweli but trust me ngoma hii angeitoa wakati yuko wcb ingekuwa ndo hit ya dunia mmngeanzisha na thread kuja kumsifia na kumfananisha na kina wizkid na davido kwakua hayupo TENA wcb ngoma inaonekana boko
Kwakuwa aina ya tumu huweza kukupandisha au kukuangusha, wa'Nigeria wako aggressive sana kwenye kuusukuma mziki wao sokoni na hiyo huchangia music industry yao kuwa iko juu kulinganisha na nchi nyingine za Africa.
Ingekuwa muziki ni sauti,mashairi na mirindimo pekee nadhani mtu kama Barnaba angekuwa labda ndiyo anayeongoza kwa umaarufu.
 
Harmonize ndiye msanii ninayemsikiliza saana. Ana kipaji saana....

Nisiongelee anayopitia kwasasa maana maisha yana ups and downs.
 
Empire iliotengenezwa bongo .. haiwezi kuupelekaa mziki wetu popote pale kwanza wcb inataka kutuaminisha Tanzania nimsanii moja tu hiki ndokimeshababisha mpaka diamond kanganda hana maendeleoo yakimziki tunamuona davido alikuwa level moja tu na diamond tena naweza kusema diamond alikuwa juu ya davido lakini

Leo davido yupo juu tunamuona burnboy anatajwa kwenye tuzo kubwa duniani.. ila sisi tunaendelea kujiaminisha kwenye views ndomafanikioo ya kwenye mziki ndomaana diamond akikutana na wizkid nihabari kwa bongo ila lagos nikitu chakawaida tu kama kondeboy akutane na dudubaya ndomaana Nigeria wanatumia huu ujinga wetu kupiga bao laiti tukijitambua nakupenda mziki sio mtu wala lebo na kusapotiana

Nigeria watakuwa chini yetu tu bongo tunajuaa .. sana .. Leo hii anaonekana lava lava anajua kuliko marioo lebo hizi kama tu simba na yanga kwenye mpira .. harmoniz alikuwa mkali wcb katoka kawa mbaya na hajui kuimba .. harmoniz kuna kauli aliongea kuwa bifu za wasanii na media ndozinazosababisha mzikiwetu uwe chini. Najua TEAM WCB najua hatoielewa maana mmekunywa maji ya benderaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Wewe nawe huna ulijualo.. Et ananunua kwa nani [emoji2][emoji2][emoji2]...
Kukusaidia tu, fb, Google na ads network nyingine wanauza traffic unanunua kadri unavyoweza!!
Kanunue au kawanunukie wa kina alikiba yaani mtu mwenye mashabiki wengi kuliko msanii yeyote east africa na africa bado unamtilia mashka kweli ushamba wa kutoka nanjilinji ni mzigo dogo kasome uje na fact na sio porojo hapa maana inaonekena hata shule ni tatizo dogo ok.
 
Miaka kumi ya mziki na watu wanamwita msanii wa Africa hana hata nyimbo moja iliowahi ingia Billboard ata top 200 kwa siku moja .. tu .. narudia tena burnboy followers m 4
Diamond followes m 8
Burnboy subscribe k 888
Diamond subscribe m 2.5

Ila burnboy ndomwenye mafanikioo makubwa .. sana
Kwanza kutwajwa kwenywe tuzo kubwa duniani .. na nyimbo zake kupenywa Africa zima so .. sijui subscribe. Sijui followers kwenye mziki sio mafanikioo kabisa .. tutambuee mziki wetu tumeukalia wenyewe kwa kuaminishwa ujingaa tu inafika sehemu mpaka dogo wajuzi tu anakuaa juu REMA kaingiza nyimbo Billboard..
 
UNO mbona aliiba na imepigwa Ban uko U tube Chinga One, Hii ya Kushoto Kulia hamna kitu apo ngoja ngojaaa labda atarudi
 
Back
Top Bottom