hiv positive living
Senior Member
- Jan 6, 2020
- 153
- 218
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Salute! Madrassa tunafundishwa kujituma na ustaa
Mzee mimi nmeenda madrasa ila haimaanishi mimi ni msunni....mimi ni muislam dhehebu la kikristoAisee, hivi umekuwa Musilamu tangu lini??, au ni uongo kama uleule wa "Arthmetical Series" umeuleta huku??
Mzee mimi nmeenda madrasa ila haimaanishi mimi ni msunni....mimi ni muislam dhehebu la kikristo
Halafu kuhusu kule arithmetic mimi sitaki kukuaibisha kwakuwa numbers don't lie wew unakomaa kuonesha ujinga wako
Kila mtu anayejisalimisha kwa mungu wake ni muislam...kwahyo kama huyo mungu ni yesu,jiwe,Ng'ombe n.kAiseee, Leo ndiyo najua kutoka kwako kwamba Ukristo ni dhehebu, ukristo umeanza kuwa dhehebu kutoka kuwa dini toka lini??.
Wewe unasema sum (S) ya (1+2+3-----+∞) converges to (-1/12).
Mimi nasema hiyo series diverges to infinity (+∞).
Haya naomba uniaibishe hapo!!!
Kila mtu anayejisalimisha kwa mungu wake ni muislam...kwahyo kama huyo mungu ni yesu,jiwe,Ng'ombe n.k
Hayo ni madhehebu tu
Sawa...mimi mbona nishajiita nabii kwenye nyuzi zangu uko nyumaKesho tu kama sio leo utajiita NABII.
😂😂😂😂😂😂😂Hata Hamida ni muislamu.
😂😂😂Hata waganga wengi Ni waislamu...
Wakristu wengiSilengi kuchochea udini wa aina yeyote ile ila najiuliza imetokea bahati mbaya tu au kuna namna nyingine kwa wale wanaoliwakilisha taifa vizuri zaidi kwenye burudani na michezo kuwa Waislam au kudai kuwa wao ni Waislam!
Au wenzetu wana elimu mmbadala ya haya mambo au tena ndio baraka tuu za Mola?
Mbwana Samatta Footballer wa kwanza kutoka Tanzania kucheza Champions League, Europa League na English Premier League pamoja na kutunikiwa tuzo ya mchezaji bora wa afrika kwa ligi zetu za ndani. n.k
Naseeb Abdul Mwanamuziki aliyeweka rekodi ya kupiga shows nyingi zaidi nje ya nchi, mwenye mashabiki na wafuasi wengi zaidi, tuzo nyingi zaidi n.k n.k
Hassan Mwakinyo, Bondia aliyerudisha Ndondi kwenye ramani tangia enzi za kina Matumla.
The list goes on.
Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂😂😂😂😂😂😂
Kuelimika huko unakupima kwa idadi kubwa ya graduates au impact ya elimu kwenye jamii ?Vipi kuhusu walioelimika..?
Sio rahisi kias hicho
Kwenye hili taifa kundi kubwa la mafisadi wanatoka kwenye madhehebu ya wakristoYaani Wabongo mna wivu mimi na ukristo wangu mtu akifanya mazuri nakubali hata hao nawakubali wametisha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa...mimi mbona nishajiita nabii kwenye nyuzi zangu uko nyuma