Is it a coincidence?

...waafrika wote waliocomment huu uzi
kwa kukashfiana kidini wotee wapumbauv n wajinga.....yaani mnatukanana kwa dini zilizoletwa......na katika hizo dini hakuna muafrica hata mmoja....pumbauv kabisa acheni ujinga ndo maana mnaitwa nyan kw ujinga kama huu.........huu uzi ufutwe.....
 
Aisee, hivi umekuwa Musilamu tangu lini??, au ni uongo kama uleule wa "Arthmetical Series" umeuleta huku??
Mzee mimi nmeenda madrasa ila haimaanishi mimi ni msunni....mimi ni muislam dhehebu la kikristo

Halafu kuhusu kule arithmetic mimi sitaki kukuaibisha kwakuwa numbers don't lie wew unakomaa kuonesha ujinga wako
 
Mzee mimi nmeenda madrasa ila haimaanishi mimi ni msunni....mimi ni muislam dhehebu la kikristo

Halafu kuhusu kule arithmetic mimi sitaki kukuaibisha kwakuwa numbers don't lie wew unakomaa kuonesha ujinga wako




Aiseee, Leo ndiyo najua kutoka kwako kwamba Ukristo ni dhehebu, ukristo umeanza kuwa dhehebu kutoka kuwa dini toka lini??.


Wewe unasema sum (S) ya (1+2+3-----+∞) converges to (-1/12).

Mimi nasema hiyo series diverges to infinity (+∞).

Haya naomba uniaibishe hapo!!!
 
Kila mtu anayejisalimisha kwa mungu wake ni muislam...kwahyo kama huyo mungu ni yesu,jiwe,Ng'ombe n.k
Hayo ni madhehebu tu
 
Nyuzi km hiz sio nzur


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Wakristu wengi
1. sio risk takers
2. Wengi wamejikita kwenye shughuli rasmi za kitaaluma kama uinjia,sheria au udaktari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…