Is it me or it what it is?

Is it me or it what it is?

Mzee Mwanakijiji

Platinum Member
Joined
Mar 10, 2006
Posts
33,771
Reaction score
41,027
Karibu kila kona ninakopita naona wajawazito wengi mno kuliko waja wepesi. Sasa nimeanza kujiuliza kama ndio matatizo ya kiuchumi yamewafanya watu wawe nyumbani muda mrefu na "kufarijiana" au ni kawaida ya majira haya ili watu watime kujifungua wakati wa Krismasi na mwanzo wa mwaka?
 
Back
Top Bottom