First which bank do you want to open an account withHello guys, I am desperately looking for an answer to this question? Is it possible? What are the appropriate steps to be taken? Can i oversee and continue using internet banking services while not in kenya as usual. Thanks in advance.
Best Regards
There are some services that Equity Bank in tanzania does not support while being supported with equity acc in kenya, hence the original question.I've always used my Equity bank account in EAC without any issues, you can open an account with Equity in Tanzania and operate it in Kenya or vice versa.
By the way am told they have come up with a diaspora service that's very convenient, will check it out.
There are some services that Equity Bank in tanzania does not support while being supported with equity acc in kenya, hence the original question.
Brother, i will be extremely thankful if you can ask the procedures and steps needed please. Thank you alot for the replyOh sorry, I live a few meters away from an Equity branch here, will popin and ask that question for you, wish I had seen your post earlier because by now I believe they are closed since it's Saturday.
DunderheadKenya ukabila unawaua. Wamewahi kuchoma mizigo ya uganda na kung'oa reli eti uganda wasipate mizigo. Wakenya wanawivu mbaya sana wanaweza kuua mtu wakisikia tu eti ni mtanzania anafanya kazi huko kenya. Nadhani ujumbe umeupata vizuri.
dumbassDunderhead
mkuu haipendezi kabisa kuongea vitu vya kugushi gushi, ulishawai kufika kikombaa,au soko lolote la matunda? kuanzia wauzaji adi madalali ni watanzania na wala hawajawai kukutana na vitisho hivyo, ukienda Isillii wapo wamama wa uko Dar wanauza vitenge na hawajai sumbuliwa, kwa mkuu hapo juu ukitaka fungua acount ya Equity kwa upande wa kenya ni lazima uwe na passport na mtu atakaye kuzamini awe (mkenya/mzawa) na yeye awe anakufahamu na yeye anafahamika kwa document zote unafungua account freshiKenya ukabila unawaua. Wamewahi kuchoma mizigo ya uganda na kung'oa reli eti uganda wasipate mizigo. Wakenya wanawivu mbaya sana wanaweza kuua mtu wakisikia tu eti ni mtanzania anafanya kazi huko kenya. Nadhani ujumbe umeupata vizuri.
mkuu haipendezi kabisa kuongea vitu vya kugushi gushi, ulishawai kufika kikombaa,au soko lolote la matunda? kuanzia wauzaji adi madalali ni watanzania na wala hawajawai kukutana na vitisho hivyo, ukienda Isillii wapo wamama wa uko Dar wanauza vitenge na hawajai sumbuliwa, kwa mkuu hapo juu ukitaka fungua acount ya Equity kwa upande wa kenya ni lazima uwe na passport na mtu atakaye kuzamini na yeye awe anakufahamu na yeye anafahamika kwa document zote unafungua account freshi
Tanzaniauliifungulia ukiwa kenya? wewe una uraia wa wapi mkuu if you dont mind me asking?
Tembea uyaone acha kuzusha kila kitu ukionacho kwenye internet
I think Wivu inakuuwa wewe mwenyewe. Natumai ujumbe umeupata. HahaKenya ukabila unawaua. Wamewahi kuchoma mizigo ya uganda na kung'oa reli eti uganda wasipate mizigo. Wakenya wanawivu mbaya sana wanaweza kuua mtu wakisikia tu eti ni mtanzania anafanya kazi huko kenya. Nadhani ujumbe umeupata vizuri.