Fungua a/c Tanzania ya Equity au KCB halafu uje Kenya kusaka tonge. Haina shida broHello guys, I am desperately looking for an answer to this question? Is it possible? What are the appropriate steps to be taken? Can i oversee and continue using internet banking services while not in kenya as usual. Thanks in advance.
Best Regards
Good Guy I will assume wewe ni mtanzania, kwa mtanzania kufungua account ya benki Kenya, swali la kwanza utaulizwa kama una doc zozote au unafanya nini Kenya. Kama ni mwanafunzi au the like hutasumbuliwa ila kama utasema umeenda ki biashara au kikazi, wataomba work permit na KRA pin ( category resident non Kenyan).
Kiukweli kuna usumbufu, sijui kwa nini kufungua tu account kwa kuwa ni foreigner unapewa masharti magumu kama unaomba kazi, njia rahisi ni fungulia Ksh account Tz kwa bank kama KCB au Equity, watakunyima ATM card ila service nyingine zote utapata kama kawaida.
Kiinglishi cha mkwara!![emoji28][emoji28][emoji28]First which bank do you want to open an account with
Hata Kenya, bila ya work permit hufungui akaunti, work permit yenyewe inachukua miezi hadi uipate, ni usumbufu kwa kweli. Hii nilipitia kwa KCB, Equity na Stanbic, zote sheria ni hizo hizo.Nasubiri jumatatu nikawaulize maana wana tawi hatua chache kutoka kwangu hapa, ila sitegemei kama kuna usumbufu wa kiasi hicho.
Japo Tanzania ndio najua kuna usumbufu balaa, hakuna mgeni anayeruhusiwa kufungua akaunti ya benki Tanzania bila kibali cha work permit ambacho pia ni ghali na kukipata sio mchezo, urasimu mwingi, unakuta Mtanzania mmiliki wa kampuni anayekualika ukamfanyie kazi inambidi abembeleze sana kwenye ofisi za wizara ya labour na uhamiaji pamoja na kwamba amelipia ada zote za vibali.
Hehehe 😀 acha uchokozi wewe hamna cha mkwara wala nini hiki kilugha kilitua anga hizi kwa meli bana 😀. Ingekuwa vyema kama ungemweleza alipokosea ili arekebishe. Mbona navoona mimi yupo freshi tu wala hapo hajakosea lolote, labda comma tu. Happy new year.Kiinglishi cha mkwara!![emoji28][emoji28][emoji28]