Is It Possible?

Is It Possible?

Harmony btn you, and your ex when forced in uncomfortable situation i.e sherehe ya mtoto wenu. Na hapo nilipo bold, you my friend are very wrong kids should come first,!!! Hasira zako kwa mama yao does not absolve you from your responsibility as their parent!!!!!!
Nemo, maslahi ya mtu ni ya mtu mwenyewe, yani hapo hakuna cha right wala wrong bali kuna cha facts or not...

to DC ile ndio fact yake, mie nitagawa maslahi yangu kwa watoto sana tu na kila ninapoishi nitawafikiria, lakini kamwe sitaweka kichwani ex wife wangu unless kama anayofanya yatakua negative kwa watoto


JUST TO CONCLUDE ON MY SIDE, HII YA MJ1 NI NGUMU KUMEZA WALA KUTEMA
 
Kwa nini watu wahanajihangaisha na kids' happiness baada ya kuachana wakati wangeweza kuifikiria na kuipa nafasi kabla ya kufanya maamuzi mazito ya kuachana??

Just because a parent opted out of their marriage, it doesnt mean he/she cares less about the children's happiness! !!!
 
you can say that again bro... with a woman you always have to prove something but with a man all you need is happiness

Sasa kuna cha pili which is the most important: Men respect wanaume wengine so they wouldnt want to be in between the exes, but i doubt if that is true for women, (msinipige mawe) coz i dont see them respecting or at considering "the other woman"

Back to topic, it is very rare kutommega tena ex wife, very rare especially kama bado mnaonana

Ndo maana hata mimi nawashauri, kama kweli hawataki kumegwa megwa kama ice cream za watoto wa shule waache mchezo wa kuendekeza mawasiliano na vikao na ma-ex wao!
 
Unajua nini Brother,

Wanawake Mungu aliwaumba kwa namna ambayo wanaume wanaijua zaidi kuliko wanawake wenyewe!!

Kwenye ile mada ya who is number one btn a husband/wife and kid, wanawake wote walisema bila kumung'unya maneno kuwa namba one kwao ni mtoto!!

Ndio maana baada ya matukio kama kuachana wanaume wanatumia hao hao watoto kufanya lolote wanalotaka....

Kama wasipostuka wasije kusema hatukuwaambia...Ukweli ni kwamba mwanamume hata akimwacha mwanamke, haachi kutamani kumuonja tena. Labda kama alimkera zaidi ya kituo cha polisi!

DarkCity
Duh....................This is very insightful

Mwanajamiione
Sorry for venturing out of the topic
 
Just because a parent opted out of their marriage, it doesnt mean he/she cares less about the children's happiness! !!!

Kuwajali watoto haina maana kuwa na mikutano na majadiliano ya mara kwa mara na mama yao (ambaye tulishindwana anyway)!

Ndo maana nikasema kuwa mtego wa watoto siku zote unawaumiza wanawake zaidi kuliko wanaume...Ukiona mwanamume anafuatilia fuatilia watoto kwa Ex wake...basi jua kuna jambo zaidi ya watoto analolitafuta!!
 
just because a parent opted out of their marriage, it doesnt mean he/she cares less about the children's happiness! !!!
caring about children doesnt mean you have to be with your ex-wife

btw, wewe una ndoa au uko kwenye hypothetical life?
 
Kuwajali watoto haina maana kuwa na mikutano na majadiliano ya mara kwa mara na mama yao (ambaye tulishindwana anyway)!

Ndo maana nikasema kuwa mtego wa watoto siku zote unawaumiza wanawake zaidi kuliko wanaume...Ukiona mwanamume anafuatilia fuatilia watoto kwa Ex wake...basi jua kuna jambo zaidi ya watoto analolitafuta!!

I am just worried kama tunaongea na mtu mwenye family aisee, yani kipimo cha kujali watoto ni kuongea na mama yao??? what if it was an abusive relationship? what if it is not important?

I am sorry, but none of use here has asked about terms zilizosababisha separation in the first place
 
DarkCity
Duh....................This is very insightful

Mwanajamiione
Sorry for venturing out of the topic

Hahahahaha...Unastushwa na hilo tu,

Kwa taarifa yako, mwanamume (tena wa kiafrika) akimwacha mwanamke anatamani kumwona akiwa kichaa anaokota makopo au amefulia hadi chawa wanagawana vipande vipande vya mwili wake... That way anaamini kweli Mungu alikuwa amekutoa kwake ila kwa ujeuri wako sasa unaonja joto la jiwe!! Habari ya watoto haipo kabisa kichwani mwake linapokuja suala la kumfikiria mtalaka wake!!

Mwanamume aliyekuacha akikuona unatanua tena na dume jingine, anatamani akaazime bastola ili asione tena hicho kitu ambacho kinampa pressure kama vile amebakiza dakika 10 kuaga dunia!!

Mwanamume kiumbe tofauti na mnachoona kinatembea njiani....kuwa makini na chukua hatua!!
 
caring about children doesnt mean you have to be with your ex-wife

btw, wewe una ndoa au uko kwenye hypothetical life?

MTM

Hey what has anything got to do with anything? To answer your quen siko kwenye ndoa................but I once dated a guy(not married) but with a kid . Issues or sherehe to do with the kid, I always stepped back , na nilikuwa nakataa kuhudhuria out of respect kwa mama mtoto. Mimi kama mwanamke was and am aware that, my presence doesnt serve none but kero so i let it be!!!!!!So maybe the issue sio ex but ni hao ma loveydovey when who do not know what and how to behave....just saying:eyebrows:
 
I am just worried kama tunaongea na mtu mwenye family aisee, yani kipimo cha kujali watoto ni kuongea na mama yao??? what if it was an abusive relationship? what if it is not important?

I am sorry, but none of use here has asked about terms zilizosababisha separation in the first place

Ni kweli ila binafsi nimejaribu kuongelea basic rules. Nadhani zinaweza kumsaidia mleta mada au mtu yeyote!

Hili suala la watoto linawaumiza wanawake wengi...my mom was one of them!!

Hata bibi DC ikifikia maongezi yanayohusu maisha bila mimi na watoto watakuwaje...kweli huwa namwonea huruma!

Bahati mbaya kwa wanawake, mtego wa watoto ni mgumu kuukwepa!
 
Wapendwa ninatumaini wote mu wazima.
Ninaomba msaada wenu
Eti inawezekana kwa wazazi waliotengana wakabaki marafiki? Kuwa kwa kuwa mmejaaliwa mtoto/watoto kisha mkatengana, na mnajua kabisa (or at least upande mmoja unajua kabisa kuwa hakuna possibility ya kurudiana- mnaweza mkawa mnaalikana/particippate kwenye shughuli za familia mf. arusi na sometimes kuwatoa watoto wenu out kwa pamoja??

Is it possible? Maana naona hii anger management course itanishinda!

Sweetie mbona hili ni rahisi sana!? Mie nimewaona watu (mke na mume) waliaochana wanaelewana mpaka unashangaa. Niliwahi kuwauliza one couple kama mnaelewana hivi kwanini msirudiane. Wakaniambia wameshaamua kuwa mbali mbali lakini for the sake of their children ni lazima waelewane kwa kiwango cha hali ya juu. Sikutaka kufuatilia zaidi lakini nilihisi kwamba kama wanapopata nafasi basi huwa wanazima taa na kukumbushana enzi zao 🙂🙂. Watu wengine wana bahati zao, lakini wengine kunakuwa na chuki ya milele hata mmoja akijaribu vipi mwingine ni mnuno tu kwa kwenda mbele, sasa ukute wote ndio wa aina hiyo basi ni balaa tupu.
 
Yaani hapo niomeiondoa hiyo ya kuwa na another relationship kwani ikishakuwa hivyo its NEVER. Tutaishia tu Bwana eh Mtoto anaumwa kalazwa au mtoto anamaliza term so jiandae kwa ada ya next term but zaidi ya hapo eti flan anaoa utoe mchango au uhudhurie, au tumtoe mtoto kusema ukweli naona karibu navunja undugu na ndugu zangu! Hawataki kunielewa kusema ukweli, kwangu alianza nikamaliza na sitarajii kurudi wala kufake urafiki wa kuunga unga na selotepu kama tunapamba mti wa krismass.
Yote inawezekana, inategemea mlimaliza uhusiano kwa njia gani. Binafsi mwaka 2008 nilihudhuria katika arusi ya ex-wangu na mchango nilitoa. Better say, tulitoa kwani marafiki sote (we have still the same friends for 15 yrs now) tuliamua kuchanganya mchango wetu na kumnunulia kitu cha maana. Mwaka jana alikuja yeye na mume wake kunitembelea, na mwaka huu nimeenda kumwona mumewe wakati almefanyiwa operesheni ya moyo.

Vile vile jamaa yangu wa karibu sana (mwanamke) aliwachwa, mume akaoa mwengine, na yeye ameolewa. Hivi sasa yeye na mke wa ex-wake ni marafiki, wanatembeleana, wanaalikana na kuhudhuria kwenye shughuli pamoja, za misiba na furaha.

Cutting it short, inategemea mlitengana kwa njia gani. Ikiwa kwa usalama na urafiki kama mlivyoanza, kwa nini isiwe?
 
Yote inawezekana, inategemea mlimaliza uhusiano kwa njia gani. Binafsi mwaka 2008 nilihudhuria katika arusi ya ex-wangu na mchango nilitoa. Better say, tulitoa kwani marafiki sote (we have still the same friends for 15 yrs now) tuliamua kuchanganya mchango wetu na kumnunulia kitu cha maana. Mwaka jana alikuja yeye na mume wake kunitembelea, na mwaka huu nimeenda kumwona mumewe wakati almefanyiwa operesheni ya moyo.

Vile vile jamaa yangu wa karibu sana (mwanamke) aliwachwa, mume akaoa mwengine, na yeye ameolewa. Hivi sasa yeye na mke wa ex-wake ni marafiki, wanatembeleana, wanaalikana na kuhudhuria kwenye shughuli pamoja, za misiba na furaha.

Cutting it short, inategemea mlitengana kwa njia gani. Ikiwa kwa usalama na urafiki kama mlivyoanza, kwa nini isiwe?
Mbona umebadilisha Avatar???? wapi Che?
 
Mbona umebadilisha Avatar???? wapi Che?
Nimemweka pembeni kwa muda. Im digesting the other side of his history I learn recently. He's blamed (with a lot of evidences) that he was a cold-blood killer of innocents. It pained coz he's my idol!
 
MTM

Hey what has anything got to do with anything? To answer your quen siko kwenye ndoa................but I once dated a guy(not married) but with a kid . Issues or sherehe to do with the kid, I always stepped back , na nilikuwa nakataa kuhudhuria out of respect kwa mama mtoto. Mimi kama mwanamke was and am aware that, my presence doesnt serve none but kero so i let it be!!!!!!So maybe the issue sio ex but ni hao ma loveydovey when who do not know what and how to behave....just saying:eyebrows:
worry not mdogo wangu

ndoa has everything to do with this coz ndio chanzo cha swali la MJ1
 
Back
Top Bottom