Is it real that life starts at 40?

Rutashubanyuma

JF-Expert Member
Joined
Sep 24, 2010
Posts
219,468
Reaction score
911,184
Kuna kamsemo kuwa maisha huanza ukiwa na miaka 40. Je kuna ukweli kwenye kaulimbiu hii? Madai huwa kabla ya 40 bado ni limbukeni unarukia mambo kwa sababu hujakomaa na huna busara. lakini after 40 unakuwa tayari umekwisha kupita kwenye tanuru la elimu dunia na maamuzi yako yanaongozwa na busara hukurupuki na hivyo shari mara nyingi kukupita kwa mbali.

Je upo ukweli hapo?
 
Au tuseme Busara na hekima ndio hukuanza ktk umri huo, kwa nijuavo mimi maisha huanzia pale mtu anapozaliwa...
Habari ya asubuh bwana Rutas...
 
Mi nafikiri uzee huanza ukiwa na 40 na siyo kuanza maisha. Ktk umri huu, mhusika huwa makini na mipango ya maisha yake ya baada ya kustaafu including sehemu ya kuishi na shughuli atakayo ifanya ktk kipindi chote kilichosalia cha uhai wake. Nahisi kwa majukumu na fikra hizi, humfanya mhusika huyo kuongozwa na busara kuhakikisha anajenga vzr maisha yake ya baadaye.
 
Nina baadhi ya sababu hapa za kupinga hio mada;
1)Life is learning, falling down and getting up (Hii inaanza2 ukishazaliwa).
2)Kuna watu above 40 lakini akili zao ndogo compared to Teenagers.
3)Not all people mature at the same age(wengine huwahi na wengine huchelewa-binadamu hawako sawa)
conclusion: I agree to disagree...
 
I do belive kuwa hasa "akili" inaanza kuja at the age of 30,ila ukishafikisha 40 unakuwa ni mwenye uwezo mkubwa wa kuyatazama mambo kiuhalisia zaidi!Ukitaka kuyajua hayo watazame watu wenye umri huo unaowafahamu utaliona hili kwa upana wake!Ukifika umri huu halafu bado una yale mambo ya "fulish" age hautabadilika kamwe!Hata humu mada,michango pamoja na namna mada na michango hiyo inavyoandikwa utaweza kuujua umri wa mtu kirahisi sana.Hata yule anaejidai kujikopi bado anaangukia kwenye ujinga,ni ujinga kwa sababu huwezi kutaka uonekane kituko wakati wewe hulipendi jambo hilo,labda ingekua ni kazi,unalazimika uact tofauti ili uifanye kazi vyema!Au kwenye muvi sawa,hatutakushangaa!
 

ingekuwa ni mtihani marks ni 85% - A
 

At fifteen my heart was set on learning;
At thirty I stood firm;
At forty I had no more doubts;
At fifty I knew the mandate of heaven;
At sixty my ear was obedient; at seventy I could follow my heart's desire without transgressing the norm
- Confucius (
Confucius - Wikiquote)
 

Are you in your forties?
 
Au tuseme Busara na hekima ndio hukuanza ktk umri huo, kwa nijuavo mimi maisha huanzia pale mtu anapozaliwa...
Habari ya asubuh bwana Rutas...

Maisha bila busara nayo ni maisha lakini?
 

something for my mind to chew.........
 

Mmmmmmmmmmhhhhhhhhhhhhhh sijui kama nimekuelewa.........
 

tatizo ya hoja hii ni kulinganisha watu mbalimbali....................lakini kama utamchukulia mtu mmoja mmoja utaona ya kuwa kadri anavyokuwa busara na utashi unaongezeka kwa maana ya kujifunza mengi.............kwa hiyo ukimlinganisha na alivyokuwa mdogo na baada ya kukomaa na akili nayo hukomaa..........ukimlinganisha na wengineo suala la vipaji hujitokeza ambavyo tunatofautiana sana..........
 
'Life' hapa sio uhai, mi naifikiria kama ni freedom labda, confidence abt your life,
at fourty and above you can feel free to be in your skin, you can stop wondering what your life will be like, you can stop fearing what ppl think abt you.
You better start living your life as you please within your own beliefs and not pretending
 

yeah, time to start living......................really living and enjoy every once of your Beloved breath................
 
ts true life begin at 40...ukiona umefika miaka hiyo then hujielew where u can stand then u've to return back the ball to kipper...n try again kama utaweza...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…