Habari zenu wote,leo naomba niulize au nijuzwe kwa hili.Nakumbuka katika pitapita zangu kipindi cha nyuma nilikutana na tangazo la ajila kutoka NMB katika gazeti moja la kiingereza,ajila ilikuwa inataka muhasibu alafu ilimalizia kwa kusema hivi "IFM GRADUATES ARE ADDED ADVANTAGES",Je wadau mnasemaje hapa.
NB:"KAMA UWEZI KUCHANGIA PLEASE KAA PEMBENI,MSILETE USHABIKI HAPA,THIS IS THE PLACE FOR GREAT THINKERS ONLY"
NB:"KAMA UWEZI KUCHANGIA PLEASE KAA PEMBENI,MSILETE USHABIKI HAPA,THIS IS THE PLACE FOR GREAT THINKERS ONLY"