Penny za siku mbona umeadimika jamani kwenye jukwaa letu tukufu hili? Au umeamia kwenye siasa?
Kumbe huwa napatiaga kumweleza Mr. nikitongozwa, especially kama jamaa sina mvuto naye na hana deal...otherwise vise versa, mwenzangu nakula kobis! napurura kwanza then nikimaliza ndo namuelezea. Lol, msinitolee mimacho ndio hali yenyewe bwana...wanasemaga tutabanana humuhumu!...itakamilisha 'effective' communication, got it?
He he..unataka watu wamseme kuwa amekaliwa na mkewe au amepigwa kipapai...
Wapo wanaume wanaosaidiana na wake zao vizuri ila wengine wakiona,aaah jamaa kwisha kazi hadi vyombo anaosha!LOL
Kama wanandoa kuulizana na kujibu maswali ni muhimu japo jinsi ya kupresent maswali na majibu yake inabidi iwe ya kistaarabu.
Bila shaka belinda waongea from the experience....wazungumza husema get it from horse's mouth. hahaha mi siwezi bwana hiyo ni kazi yake hawezi atafute beki tatu
MJ1 waambie ndo ukweli!
Jinsi wanavyowatongoza wa wenzao, na wao wanatongozwa hivyohivyo!
Leo sijui nimeamkaje
Leo mbona unamchakachua mjukuu wangu? Afu una kesi ya kujibu ujue:redfaces::redfaces:
binadamu wote wana mambo yao binafsi.........
na ukiwa wewe upo kama open book kwamwenzio mwisho ata lose interest
watu wanakuwa na interest na mystery.......
ndio maana sometime watu hushauriwa kukaa mbali kidogo na wapenzi wao ili kutengeneza hamu
wanasema how am i gonna miss you if you always here???????????????????