kwa kweli i've enjoyed reading this thread these past few days!
i used to chuna nikitongozwa na washkaji wa mr. but nikajisahau siku moja wakati tumekaa kwenye stuli ndefu namsindikiza mr na visavanna vyangu, si nikamwambia mshkaji live, 'he, we mbona unanikonyeza tena karibu kila siku?!?!' duh, ukazuga ugomvi nikakoma. nikaona duh as boring as my life may be... this drama is not for me! Now what i do is tell them upfront, 'mi siwezi kukaa na kitu, ni mmbeya sana... sometimes najisahau natangaza siri zangu mwenyewe, so proceed with caution coz ntakuja jisahau na kuropoka kusipo afu mtajuana wenyewe!' it has kinda been working, not 100% foolproof but inanisogezea siku.