Is Kenya Preparing For War With Somali?

Is Kenya Preparing For War With Somali?

waacheni waende wakajifunze kupigana. ila waende kwanza wakawaulize ethiopia kuhusu hao watu. wenzao hawaogipi kufa, na kwa experience ya kenya ya kina mungiki, nafikiri waandae majeneza ya kutosha kurudi nayo nairobi. pamoja na yote, nawapongeza na kuwasapoti waende watoe kibano kwa hao magaidi wa somalia. wajenge na makanisa kabisa pengine watapona na kuacha kujilipua. wamfuate Mungu wa kweli anayekataza kujilipua.
 
waacheni waende wakajifunze kupigana. ila waende kwanza wakawaulize ethiopia kuhusu hao watu. wenzao hawaogipi kufa, na kwa experience ya kenya ya kina mungiki, nafikiri waandae majeneza ya kutosha kurudi nayo nairobi. pamoja na yote, nawapongeza na kuwasapoti waende watoe kibano kwa hao magaidi wa somalia. wajenge na makanisa kabisa pengine watapona na kuacha kujilipua. wamfuate Mungu wa kweli anayekataza kujilipua.

You call yourself "Mwana wa Mungu"? what is this statement ?" na kwa experience ya kenya ya kina mungiki, nafikiri waandae majeneza ya kutosha kurudi nayo nairobi"

Somalia is a serious threat to EA and you still ridicule Kenya. War is never the answer...even the mighty USA has not managed it's wars...they too have casualties everyday!

Kama wewe ni really a child of God then i'm really scared of the so called children of God, is this is what you advocate?
I will say this again Somalias disintegration and lack of systematic Govt. should worry everybody.
Yeah, even if they could vamia Kenya, Tz sio mbali sana. It will be next kuvamiwa na those insurgents.

The stability or semblance of a government in Somalia should be a serious discussion in EA and the world at large.
The lawleness is very conducive for terrorist cells...read Al qaeda, Al shabaab

I am disappointed in this kind of reasoning. But hey what else is new...hii forum imekuwa ya matusi na kejeli.

as for Mungiki ...you do not have an understanding about Mungiki so do not say much about them...what you hear and read in the news is just that the inside story is for another day.
 
waacheni waende wakajifunze kupigana. ila waende kwanza wakawaulize ethiopia kuhusu hao watu. wenzao hawaogipi kufa, na kwa experience ya kenya ya kina mungiki, nafikiri waandae majeneza ya kutosha kurudi nayo nairobi. pamoja na yote, nawapongeza na kuwasapoti waende watoe kibano kwa hao magaidi wa somalia. wajenge na makanisa kabisa pengine watapona na kuacha kujilipua. wamfuate Mungu wa kweli anayekataza kujilipua.

You surely do not know well the God you speak of because He would never condone this kind of statements. I suggest you leave God out of your personal feelings because God doesn't preach war nor does he favor the death of innocent people.
 
Kenya wataondoka na aibu kama alivyoondoka "mmerakani" some years back!. Kenyans are not going to war however watakuwa wanapigana "Proxy" war wanapigana on behalf of America....that is how stupid our african leaders are. you fight your brother on behalf of white what a shame??? dollar ni tamu bwana si unajua jamaa ni wabepari. wamechukua mshiko kutoka US...watakufa wakenya wengi..sisi yetu macho...
 
Kenya wataondoka na aibu kama alivyoondoka "mmerakani" some years back!. Kenyans are not going to war however watakuwa wanapigana "Proxy" war wanapigana on behalf of America....that is how stupid our african leaders are. you fight your brother on behalf of white what a shame??? dollar ni tamu bwana si unajua jamaa ni wabepari. wamechukua mshiko kutoka US...watakufa wakenya wengi..sisi yetu macho...
Hata hivyo ujue kwamba somalia inahitaji msaada kwa hali ilivyo kule. Nani awe wa kwanza kutoa msaada? Ni wazi ni sisi waafrika wenzao, na hasa wale majirani. Zipo njia nyingi za kutoa msaada mojawapo ikiwa hiyo ya kuingilia kijeshi kama last resort. Ndivyo hata Tz ilivyofanya kule Komoro. Matatizo hayajiondokei menyewe, lazima yakabiliwe. Wale wenzetu wana hali mbaya. Wao wameshindwa kujisaidia wanahitaji kusaidiwa kwa njia moja au nyingine.

Na pengine kwa sasa njia pekee ni hiyo ya kijeshi. Ni wazi ni njia hatari, inagharimu maisha ya watu. Ndiyo maana ni last resort baada ya njia nyingine zote kushindwa.

Shida: wakati mwingine mtu uko tayari kusaidia lakini huna nyenzo au vifaa. Ukipewa na jirani sidhani kama ni vibaya kama kile unachotaka kukifanya ni chema, hakina hila. Kumbe mi sioni shida iwapo Kenya - kama kweli yaenda kuzipiga - ikawa imepewa silaha na marekani kuingilia huo mgogoro. Naamini lengo ni jema. Ujue hata marekani yenyewe kama superpower itapigana vita ngapi? Kumbe kama kwa kushirikiana na wengine inaweza kusaidia kurudisha hali ya usalama ni jambo jema.

Kumbe kusema Kenya itapigana kwa niaba ya marekani inategemea unaliangalia tatizo hilo kutoka kona gani! Yawezekana marekani ina malengo yake, lakini pia jamii ya Afrika ina malengo yake mema tu. Ona jinsi wasomali wameleta maafa makubwa kwa nchi zetu kutokana na kutokuwa na serikali. Kumekuwa na uharamia, ukosefu wa amani, poaching hasa Tz, nk. Ni hatari hao jamaa!
 
Kenya wataondoka na aibu kama alivyoondoka "mmerakani" some years back!. Kenyans are not going to war however watakuwa wanapigana "Proxy" war wanapigana on behalf of America....that is how stupid our african leaders are. you fight your brother on behalf of white what a shame??? dollar ni tamu bwana si unajua jamaa ni wabepari. wamechukua mshiko kutoka US...watakufa wakenya wengi..sisi yetu macho...

Sorry I will differ there with you tumain.
Your argument lacks indepth analysis on the reasons and also the objective of containing the Somali problem.
On the contrary, stupidity lies in waiting for Al Shabab and Al Qaeda to knock at the doors of Nairobi, it will be too late by then.
Your idea of Kenya fighting a "proxy war" for and on behalf of America is misguided and at best naive on your part.
I am a Mtz, and I see sense in containing the problem before it spills into East Africa.
 
Hata hivyo ujue kwamba somalia inahitaji msaada kwa hali ilivyo kule. Nani awe wa kwanza kutoa msaada? Ni wazi ni sisi waafrika wenzao, na hasa wale majirani. Zipo njia nyingi za kutoa msaada mojawapo ikiwa hiyo ya kuingilia kijeshi kama last resort. Ndivyo hata Tz ilivyofanya kule Komoro. Matatizo hayajiondokei menyewe, lazima yakabiliwe. Wale wenzetu wana hali mbaya. Wao wameshindwa kujisaidia wanahitaji kusaidiwa kwa njia moja au nyingine.

Na pengine kwa sasa njia pekee ni hiyo ya kijeshi. Ni wazi ni njia hatari, inagharimu maisha ya watu. Ndiyo maana ni last resort baada ya njia nyingine zote kushindwa.

Shida: wakati mwingine mtu uko tayari kusaidia lakini huna nyenzo au vifaa. Ukipewa na jirani sidhani kama ni vibaya kama kile unachotaka kukifanya ni chema, hakina hila. Kumbe mi sioni shida iwapo Kenya - kama kweli yaenda kuzipiga - ikawa imepewa silaha na marekani kuingilia huo mgogoro. Naamini lengo ni jema. Ujue hata marekani yenyewe kama superpower itapigana vita ngapi? Kumbe kama kwa kushirikiana na wengine inaweza kusaidia kurudisha hali ya usalama ni jambo jema.

Kumbe kusema Kenya itapigana kwa niaba ya marekani inategemea unaliangalia tatizo hilo kutoka kona gani! Yawezekana marekani ina malengo yake, lakini pia jamii ya Afrika ina malengo yake mema tu. Ona jinsi wasomali wameleta maafa makubwa kwa nchi zetu kutokana na kutokuwa na serikali. Kumekuwa na uharamia, ukosefu wa amani, poaching hasa Tz, nk. Ni hatari hao jamaa!

Tatizo la merakani ni kwamba hata hao Al-shabab wamepawa silaha na wamerakani kwahiyo mwishowe "waafrika wanakufa wao wantest silaha zao"
 
What of all those wabeba unga from TZ...who used to trafficking from Turkey, Bombay/Mumbai, Pakistan? so do not think you are immune to it
can we stick to the Kenya /Somalia issue...No country seems to be able to reason with Somalia...They are clanish people and are ruled by warlords belonging to different clans...it is profitable for them this way coz the operate like little mafia groups. A responsible Govt. is a rumour in this region.

Someone in this thread said that "War has no winners" its just casualties gruesome and terrifying!





Tanzania and Somalia do not share a border but fools drug dealers Kenyans want us to believe that Somalia is threat to Tanzania and the whole of East Africa. anyway, Nyaralego, I think you have a problem with Islam!
 
Kenya wataondoka na aibu kama alivyoondoka "mmerakani" some years back!. Kenyans are not going to war however watakuwa wanapigana "Proxy" war wanapigana on behalf of America....Oya!!! the last time i looked Kenya ina mpaka na Somalia..its only reasonable to try and maintain that border...So what if it's a proxy war for the USA ...at least they have seen a real threat from Somalia...that is how stupid our african leaders are. I beg to differ the stupidity of the African leader... is UFISADI, NEPOTISM, CRONYISM. you fight your brother which brother? If they were real brothers, those Somalis would not be causing havock in EA and to the world-Piracy, clanism-they are al qaeda sympathisers, recruiting underage kids to fight. War is a mans business not kids... wengine hawaja balehe...and the sooner you know that this is not good and will not bode well for the region and the world...utaanza kujihami...ala?!!!!, Al qaeda is feeling the heat in PAKISTAN, they are looking for new grounds and Somalia is ripe and ideal. I would to tell you to be very afraid. they mean businesson behalf of white what a shame??? dollar ni tamu bwana si unajua jamaa ni wabepari. wamechukua mshiko kutoka US...watakufa wakenya wengi..sisi yetu macho...this has nothing to do with ubepari...dude, Just as many Kenyans will die so will many EAs. You have to try and understand how the Somali mind works, hivi hapa umewahi kushi nao kama jirani? I know i have leaved with them. So do not argue for the sake of arguments....SOMALIA and her problems is bigger than all the EA region put together..


Please let us not argue kijustibecoz...just for the heck of it...
Come up with sound ideas and reasons.
 
You call yourself "Mwana wa Mungu"? what is this statement ?" na kwa experience ya kenya ya kina mungiki, nafikiri waandae majeneza ya kutosha kurudi nayo nairobi"

Somalia is a serious threat to EA and you still ridicule Kenya. War is never the answer...even the mighty USA has not managed it's wars...they too have casualties everyday!

Kama wewe ni really a child of God then i'm really scared of the so called children of God, is this is what you advocate?
I will say this again Somalias disintegration and lack of systematic Govt. should worry everybody.
Yeah, even if they could vamia Kenya, Tz sio mbali sana. It will be next kuvamiwa na those insurgents.

The stability or semblance of a government in Somalia should be a serious discussion in EA and the world at large.
The lawleness is very conducive for terrorist cells...read Al qaeda, Al shabaab

I am disappointed in this kind of reasoning. But hey what else is new...hii forum imekuwa ya matusi na kejeli.

as for Mungiki ...you do not have an understanding about Mungiki so do not say much about them...what you hear and read in the news is just that the inside story is for another day.










I see that you have a problem with Islam, that is fine go ahead if you think that you can destroy Somalia and Islamic world !
 
Tanzania and Somalia do not share a border but fools drug dealers Kenyans want us to believe that Somalia is threat to Tanzania and the whole of East Africa. anyway, Nyaralego, I think you have a problem with Islam!

Mkuu..Nimekujibu hoja kwa hoja...I am not against islam...in my argument did i mention anything to do with religion? Islam?
"do not cast stones if you live in a glass house"...
Somalia is a threat and that is the awful truth...they are lawless and that means that anything goes...they are capable of anything and are not subject to any legal system.
Do not talk about drug dealing...it is bigger than u think...Drug dealing is a syndicated business and alot of Goverments are invovlved in it...the inside story about drug dealing will give one sleepless nights...nightmares.
Brown sugar/heroine inatokea Afghanistan...ndio wanakuza poppy for the drug trade what does that tell you about the so called Al qaeda and their religion.
Ni wazi kwamba Al qaeda, Taliban na such associations give a bad name to Islam...I have very many muslim friends and they are all very good people.
So do not make this a debate about religion and DO NOT PUT WORDS IN MY MOUTH. thank you.
 
I see that you have a problem with Islam, that is fine go ahead if you think that you can destroy Somalia and Islamic world !
Zanzibar,
I am a staunch Muslim and I do not think what Nyaralego is saying is religiously inclined. Nyie ndie mwaharibia dini yetu sifa kwa kusupport terrorism. Al shabaab, Al qaeda etc should be separated from Islam kabisa. Tafadhali msilete mambo ya dini hapa, coz thats not what we are discussing.

SHAME ON YOU ZANZIBAR.
 
Tanzania and Somalia do not share a border but fools drug dealers Kenyans want us to believe that Somalia is threat to Tanzania and the whole of East Africa. anyway, Nyaralego, I think you have a problem with Islam!

Mmeshaanza. Mtu akishindwa hoja anaingiza dini akijua it is a sensitive and touchy matter to many. Mkuu don't seek support from JF Muslim members by making out what she said to be against Islam.
 
I see that you have a problem with Islam, that is fine go ahead if you think that you can destroy Somalia and Islamic world !

Mkuu why do you feel that someone is trying to destroy the Muslim world. This is why we don't move forward because we tend to see things on the basis of religion, race and those kind of things. So if Somalia was a Christian country you would have said Kenya is trying to destroy the Christian world. Speak up against war but don't make it out to be as if every war is on the basis of religion. When the 9/11 terrorist acts occurred I didn't hear people say it was an attack on the Christian world. It was called what it was and it was simply terrorism.
 
Tanzania and Somalia do not share a border but fools drug dealers Kenyans want us to believe that Somalia is threat to Tanzania and the whole of East Africa. anyway, Nyaralego, I think you have a problem with Islam!

Ha ha ha! Shame on you ZANZIBAR! You are a waste for a good name.Ati Tanzania and Somalia do not share borders! so what?
These guys( Somalis) are beig caught like rabbits each other day and deep into the Tanzanian territory!
It takes a bird brain to water down the threat at hand to think that it only belongs to Kenyans.I am at loss with words to characterise your analogy of equating the Somali disorder to a threat to Islam.It is people like you who make cannon fodder for Al Qaeda.
 
Are you any better, do you even have an airforce to start with, you are still stuck with your vasco dagama atillery(zile mlizomfukuza nazo Amin), and a defence budget the size given to the youth fund here in kenya, (while your population is more than 40 milli)... LOL... kazi kuimba tu bongo flava, nakuishi in a mirage... LOL.. At times you make me laugh..

Hujui unachoongea wewe, hebu mkimaliza huko jaribuni kuleta pua zenu huku uone........ mmenyang'anywa Migingo kama watoto hapo unajishaua nini sasa
 
I see that you have a problem with Islam, that is fine go ahead if you think that you can destroy Somalia and Islamic world !

Puhleeaase Unikome kabisa...
I did not make Al Qaeda and Al shabaab...Unfortunately they are muslims...As I said before this topic is not about religion...its about Kenya/somalia tension.
Do not draw me into arguments about religion...this is neither the place nor the time..I will NOT argue about religion...look for some else.

Umeshindwa na mada, sasa your last resort is to cry religion. OMG
 
What is your problem? Islamic law ? I'm glad to know you have proved my point, thanks redneck!!!!!!!

You do not even know what redneck is?!!! hahhahhahahahah!!!
I have not proven anything...your little mind makes you believe so...

I will tell you one more time...I do not discuss religion period point blank! I will not be drawn into a discussion/debate about religion whatsoever.
Especially with a bigot like you. oh noooo!!

Nimesema unikome kabisa!!!!
Mada ya dini kaipeleke kule jukwaa la dini/religion where people like you vomit words without reason. You put words together and think they make sense...
 
Last edited:
Back
Top Bottom