Is lockdown and mass testing working in Kenya?

Wacha kuzungumza mambo usiyoyajua, TB husababishwa na bacteria, hupimwa kwa kutumia darubini ya kawaida kwa kuwaangalia hao bacteria, wakati virusi havionekani kwa darubini vinapimwa kwa kutumia reagents. Hivi kwanini mnapenda sana kuzungumza vitu vya uongo ili kujisifu mambo msiyoyajua? Acheni ulimbukeni.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…