Mibas
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 4,196
- 6,367
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wacha kuzungumza mambo usiyoyajua, TB husababishwa na bacteria, hupimwa kwa kutumia darubini ya kawaida kwa kuwaangalia hao bacteria, wakati virusi havionekani kwa darubini vinapimwa kwa kutumia reagents. Hivi kwanini mnapenda sana kuzungumza vitu vya uongo ili kujisifu mambo msiyoyajua? Acheni ulimbukeni.Kila mtu anajua tests za China zilikua defective. Wale walistuka juu Magufuli alisema hawaja fuata mambo ya testing worldwide. Kenya ilijua hizo test kits sio accute. That is why we are using machines that are use to test other diseases like TB and HIV to do corona testing. These are very accurate though take time.
Joto la jiwe anataka tuache kutest na quarantine tuache watu wakufe tu?
Unakumbuka walivyo kuwa wanafungua nyuzi za kijinga wakisikia madereva wa Tz wamekutwa na corona kule UG.Aisee kumbe jamaa ndio wanaongoza ku spread Covid-19 ktk hii kanda 🙂
Sent using Jamii Forums mobile app
ndo maana yake!Ina maana sasa wataanza kuchemsha vifaa na kuvirudia kwa wanaopiga?
Hili ni janga lingine...
Sent using Jamii Forums mobile app