Is Messi really the G.O.A.T?

Is Messi really the G.O.A.T?

Hivi nyie ni wageni kwenye mpira ?

Football is a team sport hio sio Golf au Tennis...,

Cup Competition sio kama League.., the Best team does not necessarily lift the Cup inategemea on the day umeamkaje na umecheza na nani na a bit of luck...

Kwahio ulitaka apige penalty yake mwenyewe na zile za waliokosa apige yeye na achukue nafasi ya kipa kuzuia penalty nyingine

Hayo mambo ya umeamkaje au umelalaje ni huko huko kwenu kariakoo na jangwani
 
Jana mi nilikuwa namwona aki kimbia kimbia tu uwanjani
 
nani amemkamia?
Joti mechi ya jana hakukamiwa alijikaba mwenyewe na waala hakuwa na madhara.

na sio jana tu.
hata ile fainali dhidi ya German alijamba na hakuwa na madhara yoyote.

Vipi kuhusu Goli 2 alizowapiga pale Camp Nou na jumla mkawa mmepigwa 4!?
 
Back
Top Bottom