Ukijichanganya na viajana wa Rwanda, hawataki kabisa mijadala ya siasa sababu kubwa wanasema ni rais wao
Nampenda sana kagame udictator + killings= economic development
Hizo ni assumptions za ki 'intelijensia' ya akina Mwema, lakini ukweli ni kwamba Kombe alikufa (aliuawa) kwa kuhisiwa ndiye akliyekuwa anavujisha habari kwa mpinzani mkuu wa kipindi kile - Bw. Lyatonga Mrema.
Kipindi hicho hadi Mahita alipandishwa cheo kutoka mkuu wa polisi wa mkoa hadi u IGP kwa kazi 'nzuri' aliyofanya kule AR ya kukabili watu waliokuwa wanambeba Mrema, alipiga sana watu mabomu ya machozi na washawasha.
ogopa wa tusti yaani hili kabila bado litaendelea kuleta balaa kubwa ukanda wa maziwa makuu. Ukiwaangalia vizuri hawana tofauti na Wasomari na jadi yao ni kupenda kuwa bora zaidi ya watu wengine hasa majirani zao.
??????kagame bfr even being a president he was in power
Hilo ni kweli kabisa. Wanaimani Kagame ana macho makubwa kuona dunia muzima, masikio makubwa sana kusikia vyote/kokote, na pua kuuubwa kukunusa ulipo
Nampenda sana kagame udictator + killings= economic development