Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
- Thread starter
-
- #181
First off, just for your information, there hasn't been any scheduled SADC meeting over the past few weeks. The president of South Africa recently called a meeting with his immediate neighbors. Are you saying that all SADC presidents attended this meeting except the president of Tanzania?
Secondly, was the EAC meeting you are talking about here a scheduled one? Was the president of Tanzania invited? Do you know the agenda items? Are the agenda items relevant to Tanzania? If not, why bother?
Lastly, I would advise you to check your facts before posting. Or better close your ***
Kwani kwa kutohudhuria amevunja sheria yoyote ya hizo Jumuiya?
Nn hujaelewa hapo, una uhakika alialikwa kikaoni akakataaWhat do you mean?
Watahoji PHD yakeNaanza kushawishika huenda ni kweli aisee...
Lakini kwani hawezi kuongea Kiswahili?
Ndio maana nimeuliza bwashee!Unafahamu hata sheria moja ya hizo jumuiya?
Hiyo mikutano sidhani kama ina chochote cha maana zaidi ya porojo tu.
Kwa mfano huyo babu Kizee museven, kuna lolote anaweza kushauri ambalo ni watertight?
Nafikiri machaguo yote tayari yapo mezani. Kufunga nchi ama kutokufunga nchi. Hakuna mjadala.
Magufuli ameshachagua kutokufunga nchi. Amemaanisha na hatetereki msimamo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio maana nimeuliza bwashee!
Tunacho ndio maana hajaenda kwa sababu hakuna kanuni inayomlazimisha!Hamna kitini cha muongozo wa Jumuiya ya Afrika mashariki hapo Lumumba ?
Matokeo yako yakuhoji yanabainisha vipi weledi wako,ikiwa kama mwenye weledi hajui weledi wa kupata weledi stahiki ili kuitimisha weledi hakiki...????
Sujaelewa hata chembeMatokeo yako yakuhoji yanabainisha vipi weledi wako,ikiwa kama mwenye weledi hajui weledi wa kupata weledi stahiki ili kuitimisha weledi hakiki...????
Na hilo ndo jibu la swali kalale huko usifatilie ya wakubwa hautaelewa πππSujaelewa hata chembe
Jr[emoji769]
Naanza kushawishika huenda ni kweli aisee...
Lakini kwani hawezi kuongea Kiswahili?
ππππ Lile swali Yan Dah, lilifanya Mtu aone manyotanyota, Kichwa kikapiga kengele za hatari na kuzizima π€π€π€π... lile swali la mzungu kule Uganda kipindi kile lilim-put off completely! Since then confidence ilianza kupotea taratibu to its lowest level recently! Wanasaikolojia mtuambie.
Sasa ndo Ujinga huo wa kutaka kutufanya a lawless, pariah State kama Burundi ama Somalia hatutakiHata Burundi hawakiwepo
Stay home, stay safe
Corona kills
Tumia swahili dada hidayaWe Tanzanians that is what we want President Magufuli represents the views of the majority Tanzanians .Majority don't want want lock down they are ready to die with corona not hunger
Hao majority umewapataje? Mlipiga kura ya maoni?We Tanzanians that is what we want President Magufuli represents the views of the majority Tanzanians .Majority don't want want lock down they are ready to die with corona not hunger
Umesema ukweli kabisa. The guy is just useless in discussion or debait, no matter what language he is using. Nadhani hata kwa kisukuma atakuwa anatoa OP tu. Halafu ''humour'' zake anazojaribu kuweka kwenye hotuba au maongezi yake ni za kishamba kweli kweli. Zimejaa sexism na matusi ya kimbugwe-mbugwe tu.Ngabu, huyu jamaa mbona hata mijadala katika kiswahili ni shida? Ndio maana lazima achanganye mambo ya hovyo kama ngono ili kulazimisha kucheka kupoteza malengo.
Uwezo wa kujieleza kiweledi hana kabisa katika lugha zote, najiuliza kawa waziri karibia miaka 20 inamaana walikuwa hawamjui?
Sent using Jamii Forums mobile app