Is President Magufuli an isolationist?

Is President Magufuli an isolationist?

Sidhani kama tatizo ni lugha, labda huko sadc, lakini eac si wanatumia Kiswahili na kiingereza?

Ana tatizo zaidi ya lugha!!!

Hiyo ‘zaidi’ ni nini sasa? Masharti ya mganga?
 
I am anti-stupidity and pro-intelligence. Anti-foolishness and pro-common sense.

Having said that, I’m not here to cape for Magufuli on just about anything and everything.

I look at issues on a case by case basis.

Today, the East African Community heads of state held a virtual meeting sans President Magufuli.

Last week SADC did the same.

President Magufuli has missed several of these types of meetings a number of times now.

Is he an isolationist?

It’s hard to make sense of his absences. Like for example, what made him miss today’s virtual gathering?

Did he have an over-packed docket of things to do [wherever he is at]?

Just downright bizarre!

As trivial as it may sound, maybe there’s some truth to what some people think could be the reason for him skipping these meetings - English.

Maybe he is so self-conscious about his English speaking proficiency and he can’t handle being dragged for it afterwards.

If that’s not the case, then what is it?

To me it doesn’t make any sense why he would skip on these types of meetings especially at a critical time as now.

Can anybody make sense of this nonsense?


Sent using Jamii Forums mobile app

I think he is sick but pretending to be fine.

He could send someone on behalf but because ni mtu anayetaka aonekane anaweza kila kitu kaamua asiende.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo ‘zaidi’ ni nini sasa? Masharti ya mganga?
I just don't know kiongozi! The man has dealt with covid 19 in his own ways, isolating himself(the country) and the rest of his comrades. Sijui kwa nini aliamua hivyo.
 
When a disease or bandits attacks every home each one has to fight for his own !!! It



Unfortunately this enemy knows no boundaries. Labda tujifungie kusiwe na wakuingia wala wakutoka tupambane kivyetu, laa sivyo tukubali kushirikiana hata kama hatutakubaliana kufuata hatua sawa kwa kila kitu.
 
Miongoni mwa hatua Kwa Wakati ule ilikuwa ni kudhibiti safari za ndege haswa kutoka kwenye nchi zenye maambukizi mengi.

Kujiimarisha katika eneo la Upimaji hususani mipakani.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
First off, just for your information, there hasn't been any scheduled SADC meeting over the past few weeks. The president of South Africa recently called a meeting with his immediate neighbors. Are you saying that all SADC presidents attended this meeting except the president of Tanzania?

Secondly, was the EAC meeting you are talking about here a scheduled one? Was the president of Tanzania invited? Do you know the agenda items? Are the agenda items relevant to Tanzania? If not, why bother?

Lastly, I would advise you to check your facts before posting. Or better close your ***
 
Wewe ni mpumbavu huijui SADC nchi za SaDC sio zote zinaongea kiingereza mfano Msumbiji na Angola ni nchi za SADC lugha yao kireno nchi ya Congo ni member Wa SADC hawaongei kingereza wanaongea kifaransa sio kingereza!!! Wewe kusomeshwa na wazazi wako English medium kwa hiyo unadhani Nchi zote za SADC ambazo Raisi wetu ndio mwenyekiti wake viongozi maraisi wrote wanaongea kiiingereza!!! Halafu hukui kuwa Lissa hill in Lugha iliyoidhinishwa kutumika mikutano ypte ya SADC na African Union poor you chadema pole
Kwa nini anawakwepa wenzake?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
As per Yeriko: Walio wajinga sana ni wengi mno Tz. Karne ya 21 jitu linajua kikabila chao na kiswahili cha kikabila chao sifa ambazo zintosheleza CV ya kuchungia mifugo porini.
 
I am anti-stupidity and pro-intelligence. Anti-foolishness and pro-common sense.

Having said that, I’m not here to cape for Magufuli on just about anything and everything.

I look at issues on a case by case basis.

Today, the East African Community heads of state held a virtual meeting sans President Magufuli.

Last week SADC did the same.

President Magufuli has missed several of these types of meetings a number of times now.

Is he an isolationist?

It’s hard to make sense of his absences. Like for example, what made him miss today’s virtual gathering?

Did he have an over-packed docket of things to do [wherever he is at]?

Just downright bizarre!

As trivial as it may sound, maybe there’s some truth to what some people think could be the reason for him skipping these meetings - English.

Maybe he is so self-conscious about his English speaking proficiency and he can’t handle being dragged for it afterwards.

If that’s not the case, then what is it?

To me it doesn’t make any sense why he would skip on these types of meetings especially at a critical time as now.

Can anybody make sense of this nonsense?


Sent using Jamii Forums mobile app
Ni DIKTETA mbaya sana ambaye viwango vyake ni kama Mussolini na Hitler . Anadhani yeye ndiyo ana mawazo mazuri kuliko binadamu wengine ndiyo maana hataki kupingwa vile anafikiri.

Ingekuwa Cyril Ramaphosa au Museveni au Kagame wako kwenye himaya yake angemtuma Bashite na kikosi cha WASIOJULIKANA waende wakawateke na kuwaua kama alivyowaua kina Ben Saanane, Azory Gwanda na kumshambulia Tundu Lissu.

Hakuna kitu anachukia kama KUKOSOLEWA, ila bahati mbaya ubongo wake ni chini ya wastani yaani kwa grade za NECTA ni kati ya D na C
 
Hiyo mikutano sidhani kama ina chochote cha maana zaidi ya porojo tu.

Kwa mfano huyo babu Kizee museven, kuna lolote anaweza kushauri ambalo ni watertight?

Nafikiri machaguo yote tayari yapo mezani. Kufunga nchi ama kutokufunga nchi. Hakuna mjadala.

Magufuli ameshachagua kutokufunga nchi. Amemaanisha na hatetereki msimamo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom