Is sex overrated?

Is sex overrated?

naam..sex has become overrated in our modern society..miaka ya nyuma tendo hili liliachiwa waliooa na ndivyo ipasavyo...hata kama kulitokea cases kadhaa ila moja moja..kwa sasa,tendo hili limekuwa so much overrated in that you will always find something about sex in almost every aspect of our daily routines..kwa mfano,inaamika kuwa kama unataka kuwa na umaarufu ama kazi zako za kisanaa zivume basi lazima ujumuishe some aspects of intimacy..hivi unapata video nuingi za muziki ama hata filamu kuna mambo ya kivile yaliyojumuishwa..ikika kwa wanamitindo,unapata mavazi ya kisasa wanayovalia inareveal so much for the eye..ukizingatia wadada zetu hupenda kuwa in fashion,wataishia kuvaa kama wanamitindo hao..wakishatoka kule nje wakakutana na wanaume ambao watawaona "sexy"hapo mikakati ya uwindaji itaanza kuchukua nafasi kubwa ya akili za wanaume hao..
 
Definately overrated. Kwa mwanaume akiulizwa swali hili sekunde 10 baada ya kumaliza tukio atakubaliana sex is way overrated
 
Sex inakuwa ovarratef hasa kwa watu ambao wako single au wako mbali kwa wapenzi wao au hajafanya mda mrefu.

lkn kwa watu ambao mda wowote akitaka gegedo analipata wala haimuumizi kichwa.

Unakuta unaitamani papuchi lkn ukiipata unaiona ya kawaida, unajiuliza fujo zote za nini??????
 
Mimi bwana nawaza sex nikiwa nae karibu tu otherwise nawaza vitu vya msingi tu...na nikikosa kazi bora niweke comedy movies au niende gym
 
Nikifika hom tawaambia kila kitu...

Mbagala to Gongo la Mboto

Screenshot_20240929-203801_1.jpg
 
Back
Top Bottom