Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
Daaah madini haya mkuu tena madini adhimu sana anThe groundwork for happiness is health,
It's not how much we have but how much we enjoy ,that makes happiness,
Take care of yourself be healthy and always believe you can be successful in anything you truly want,
For the time being Appreciate your current situation and enjoy each day,Don't forget to live your life,
Don't be too busy and forgot to live.
Ulikua adimu sana madamWa kutosha.
Licha ya hvo ila huku kuna madini sana mkuu wangu....Huku mambo ni mengi sana, mengine sio rahisi kufikirika 🤔
Umewahi kurespond ungeacha watu waingoje tamthiliyaHakuna kilichonikuta ila naona vijana wenzangu wanapitia mengi sana aiseee l...
Naona kabisa watu wanayavagaa ila kumstua nashindwa mkuu
Hawajui Mambo yanavoenda haoUmewahi kurespond ungeacha watu waingoje tamthiliya
Si unaona maafisha ubashiri walishaanza kukupa pole
Naoaje mapema yote hii na wakati ulimbukeni wa kushika hivi vihela bado haujaniisha? Unataka nimuue binti wa watu kwa pressure
Hapana, labda tunapishana. Nimejaa tele.Ulikua adimu sana madam
Hatujakulea hivyo totoo😭😭Naoaje mapema yote hii na wakati ulimbukeni wa kushika hivi vihela bado haujaniisha? Unataka nimuue binti wa watu kwa pressure
Kuna nyimbo yq Westlife inaitwa Change your mind nimeikumbuka sana hapa 🤣🤣🤣Hatukujakulea hivyo totoo😭😭
Siko kwenye mtandao wowote , kwahyo bila jf sina pa kupoa !!Licha ya hvo ila huku kuna madini sana mkuu wangu....
Wee assume mi kwa miaka yangu yote hii hapa jf ni kama muongozo wangu
Kashapunguziwa gono huyu tayarkimekukuta kitu😂haya ufike haraka
Hata mimi i still believe kuwa mabint wema na wazur kama walivyokua mama zetu hata sasa bado wapo tena wengi tuu wala sio pesa kipaumbele, maisha simple kabisaaUmbali wote huo kumfata demu ukute akakupa na zawadi ya UTI sugu 🙌😜
Vijana oeni, waifu material bado wapo wengi kitaa ambao unaweza kumpatia shilingi elfu 10 akaifanyia Bajeti ya kula Siku 3
Hatari zaidi ni wewe ambaye hujali unaenda kavu kavu hata pasipostahili. We hujiogopi?Mishangazi😡
unakula kavu kumbe mwenzio anabugia vidonge na hakwambii,
Ila wanawake ni viumbe hatari sana.
Mkuu unataka kusemaje?Kuna nyimbo yq Westlife inaitwa Change your mind nimeikumbuka sana hapa 🤣🤣🤣
Mpaji Mungu usifanye hivyo malizana basi na Atoto
Mpaji awe na adabu 🤣🤣🤣Mkuu unataka kusemaje?
Huyo ni dadangu eti tena dada kbs!Kuna nyimbo yq Westlife inaitwa Change your mind nimeikumbuka sana hapa 🤣🤣🤣
Mpaji Mungu usifanye hivyo malizana basi na Atoto
Tulia tulia mambo yasiwe mengiHatujakulea hivyo totoo😭😭
Sahihi kabisa, wapi wengi sanaUmbali wote huo kumfata demu ukute akakupa na zawadi ya UTI sugu 🙌😜
Vijana oeni, waifu material bado wapo wengi kitaa ambao unaweza kumpatia shilingi elfu 10 akaifanyia Bajeti ya kula Siku 3
Yaani yeye anaitwa Atoto wewe unaitwa totoo 🤣🤣🤣Tulia tulia mambo yasiwe mengi
Yy ni mkubwa ndo nkafuatia mm....aliefatia anaitwa Atyotyo last born anaitwa AtrotroYaani yeye anaitwa Atoto wewe unaitwa totoo 🤣🤣🤣