Is Zari and Diamond Platinumz project continues? What about Wema?

Leak

JF-Expert Member
Joined
Feb 22, 2012
Posts
52,916
Reaction score
43,505
Project ya Kijana wetu Diamond na Zari (the boss lady) ilifana sana kiasi kwamba iliacha kumbukumbu!

Cha kujiuliza, hii project inaendelea? Kuna picha hapo chini inaonesha wakiwa wanaanza kufanya project ambayo pengine inaweza ikawa project kubwa tangu aanze kufanya project!

Lakini kama mjuavyo kila project inahitaji vifaa vya kufanikisha project ili baada ya project kila mtu atoke salama kama kutakuwa na madhara yeyote! Sijui kama Kijana wetu Diamond hukumbuka dhana za kufanyia project kama 3 Bomba, Roughryder na zingine zinazosaidia mtu akiwa kwenye project!



Lakini Diamond usisahau vifaa unapo kuwa kwenye project mfano 3bomba.
 

Attachments

  • 1416739769208.jpg
    61.9 KB · Views: 9,019
  • 1416739901915.jpg
    53.7 KB · Views: 8,588
Haaaa umemeza wa mwenzie
Kijana hadi alisinzia kabisa!
Wakajifanya project..., angesema tu wazi kwa sasa koloni langu ni Zari... sio ku run around the bush

Duu huyu kijana anajua kuvamia sana daa yani hadi huyu Mama mtu mzima? Kuna sehemu nilimsikia alionekana kukerwa na kitendo cha Wema kupewa gari!
 
Hivi hizi sinema zitaisha lini?
Nyimbo si ashatoa?
Atulie sasa sio alazimishe kiki na wapambe wake
Waache umma uendelee kumkubali au umkatae!

Pengine hii si Sinema tena Bali ni reality show! hii ni project original!
 

Mi sina maneno mengi! Mwiteni hapa, Ze mazafanta aje hapa atie neno. Ze projekti.....
 
mi nilidhani ni utani kumbe kweli.
mhhh waumize chibu cos kabla ya kuzpata ulipowafata waliringa sana. so huu ndio muda wao wa kulia !. WACHA MOVIE IENDELEE !!!!
 
mi nilidhani ni utani kumbe kweli.
mhhh waumize chibu cos kabla ya kuzpata ulipowafata waliringa sana. so huu ndio muda wao wa kulia !. WACHA MOVIE IENDELEE !!!!

hapa anaye umizwa ni Wema hata Mimi mwanzo nilifikiri ni utani!
 
Ha ha ha nilidhani ni Mimi nimeona vibaya nii shiider
hahahaha
Kijana aliona ni wakati sasa kutumia ujuzi wote alio nao kwenye hii project ili kuandika historia!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…