Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
daah jamaaa ni mpigaji mizigo sana,hawa ni wale tu super divaz je kwa wale wa chini chini vishobokaji si atakua ana wakita sana aisee ni hatari kwa afya kama dume hai ingilii kati,ni bora management yake ikaketi na kumpa ushauri,maradhi yapo na haya chagui usuper star.
Kuna sehemu aliulizwa kuwa ulikasirika Wema kupewa gari? akajibu kuwa hakuna anaye weza kufurahi ndio maana watu tukiamua kupiga project zetu tunaonekana wabaya!
Kwakweli nivyema akapewa ushauri wakuwa makini sana kwenye project zake!
Tabia yake tu ndo inamfanya baadhi ya watu wamchukie, na sio kwamba sio muimbaji mzuri lah! Ni mambo kama hayo , sasa anavyoweka hadharani ili iweje? Ni kuwa hakujiamini kama angeweza kulala na zari au nini, ushamba tu na ulimbukeni
Mhhh huo mdomo....
Nitarudi.....
hahahaha sijui atapiga project na wangapi huyu kijana!Maana wazuri ni wengi sana! Kweli Wema atafute wakumuoa!
Mhhh huo mdomo....
Nitarudi.....
Kwakweli kijana bora apunguze project asije akaanza kuumwa kifua! lakini Mimi nimemshauri akumbuke 3bomba!
Sasa sijui kama babu Tale umeneja wake unaishia wapi?Kweli ana hitaji ushauri!
Tabia yake tu ndo inamfanya baadhi ya watu wamchukie, na sio kwamba sio muimbaji mzuri lah! Ni mambo kama hayo , sasa anavyoweka hadharani ili iweje? Ni kuwa hakujiamini kama angeweza kulala na zari au nini, ushamba tu na ulimbukeni
mi nilidhani ni utani kumbe kweli.
mhhh waumize chibu cos kabla ya kuzpata ulipowafata waliringa sana. so huu ndio muda wao wa kulia !. WACHA MOVIE IENDELEE !!!!
Akikosa wa kumyoa aendelee kuchuna mibuzi tu
Duuu Wema atakuwa na hali mbaya sana!
Hapo kwa ndomo hakuna kitu...kijana bado kifanyio kinamuwasha na hv anapenda kiki za kijinga
daah jamaaa ni mpigaji mizigo sana,hawa ni wale tu super divaz je kwa wale wa chini chini vishobokaji si atakua ana wakita sana aisee ni hatari kwa afya kama dume hai ingilii kati,ni bora management yake ikaketi na kumpa ushauri,maradhi yapo na haya chagui usuper star.
Labda zilivuja! Lakini sijui Wema anavyo mpenda Diamond ana hali gani!
Lakini kijana anahitaji ushauri wa karibu!
Kama vile anataka amtafune maana kaumeza mdomo wa dada wa watu anadhani yupo na mama ubaya maana naye si haba......
T
Anatafta attention kinguvu zaidi sijui mshauri wake achange strategies za kumfanya aendelee Ku make headlines sasa yeye mademu ndo kimbilio lake hata hainogi kwa mtu ka yeye ataishia kubaya na jamii haitamhurumia kwa city ka vyake ndo mana akina Jide prof j mwanafa Ay mbona wanna survive bila skendo za kipuuzi
Babu Leo umeongea point sana huyu domo anahitaji ushauri