Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Aaahhh watu mapovu yanawatoka aaaiiii kipi cha ajabu alichofanya Zari????? aaaahhhh mwacheni mtt wa watu ndo mnamuongezea umaarufu km kim kardashian
Wewe hupendi umaarufu? Hebu anika K yako hapa tuithaminishe.
hahahahaha
Kafanyaje Nancy mitisa?Long live Nancy Mitikisiko!
Na kama upo humu nigongee like.
Kafanyaje Nancy mitisa?
Long live Nancy Mitikisiko!
Na kama upo humu nigongee like.
Budy nimekugongea like kwa sababu umenichekesha sana ila mimi siyo Nancy, natumaini yupo humuhumu na mwandiko wake naujuwa.
Haina shida.
Na hata mimi nahisi huyo binti Salamba yumo humu......
Kusema ule ukweli Zari ana figure nzuri.
Kwahyo ikisemwa "Baadhi ya Mabinti" nawe humo katika hao baadhi??Uoni kua imewalenga wanaomshabikia mwenzao aka date na mtu uko UG, ama nawewe ni mmoja wanaoshabikia?...okay basi pole sana kama ilikugusa aisee maana hatari, binafsi naona kama umejistukia tu
Mrembo by Nature wananchi wamejazana jukwaa la wakubwa wanasubili uwaletee uhondo.Haha niko busy na sex tape...papuchi nyeusiiii hata haijafyekwa eti ze box lady ! Kiwembe kimekushinda ubos lady utauweza? Diva Beyonce gurudumu umelifikisha wapi? Moto ulikuwa mkali hadi wakaomba poo mode wanipumzishe.
Nimerudi km fireeeee mkachongee tena.
Tukutane jukwaa la wakubwa nitaweka utamu ulorikodiwa watu wakifanya yao. Demu jamvi la mataifa
Wema ataanzia wapi kumkomoa zari, ye akomoane tu na kina kajala hao ndo level yake, na hicho wanachofanya wanajiaibisha tu
Nitajie Bongo movie ambaye hauzi nyapu.