Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 50,587
- 71,492
Hhhhhhhhaaaaaaa
Last edited by a moderator:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
bado zili clip hazija nishawishi kuwa hazijafanyiwa mchezo!
Mmmh hv kati ya mm na wewe nani kamuattack mwenzie? mi namuongelea celeb wema ukaja na povu lako
Na wanavomuandama Wema ni Zari kutaka kubaki na Diamond??!
Au msome Zari kuna mtu ka leak hizo videos
Nakushauri uanze upya kusoma nilichoongea kisha, uangalie wapi niliposema nawewe ama hata labda kuku quote!! Usiwe mbishi kunielewa nachokiongea, maana hata mimi nilimuongelea uyo celeb Wema sasa nashangaa ulipotokea na kuni quote
mnagombania maceleb. hahaha. kazi kweli kweli
Yaani mtu amwaibishe kwa ajili ya kijipati tu???Mimi nimeziangalia clip zote ziko kama tatu yani ni vitu tofauti kabisa ni mchezo wa kuchanganya picha! kwa maoni yangu kilicho fanyika ni kuchanganya picha kuna sehemu inaonesha shingo ya muhusika ni tofauti na clip ya pili!
Na wanavomuandama Wema ni Zari kutaka kubaki na Diamond??!
Au msome Zari kuna mtu ka leak hizo videos
Yuko mwenyewe ana ji laveda.... mie ninazo au kama uko insta nenda akaunti ya wemadacutewangu" utazikuta
Kama.picha zimechanganywa kwa nini aseme kuwa mtu ame-leak????
Kwa nini aseme kuwa ni "private life yake???"
Hujani-convince loya wangu
Yaani mtu amwaibishe kwa ajili ya kijipati tu???
Neeehi
Kamsome Le Mutuz Rutta
mnagombania maceleb. hahaha. kazi kweli kweli
ishhhhh sa unabisha nn hiyo quote hap ni ya nani?
OK! BADILI TABIA Mimi nakubaliana na maswali yako ya msingi unajua Mimi nilifanya judgement kabla sijaona hilo tamko la mhusika! Bado najiuliza nimekuta Lemutuz anasema kuwa zimevujishwa na x boyfriend wake lakini hizi picha zinaonesha alikuwa anajichua na dildo sasa sijui jamaa ali mrecord bila kujijua?
Kamsome Le Mutuz Rutta
Yuko mwenyewe ana ji laveda.... mie ninazo au kama uko insta nenda akaunti ya wemadacutewangu" utazikuta
Huyo hachelewi kufuta au kukana post zake huko ig
Dah kaweka loki aisee......
hahaha Mwl huku haziwezi kuwekwa nenda insta ni aibu duu!
Video za naniii!!!!