BInafsi nimeikubali sana... kwa kawaida huwa radio nafungulia kwa sauti ya chini sana manake sie wengine tukiiachia, mtaani hatusikilizani! Lakini siku nimeipata hiyo ngoma, niliwakera watu manake niliirudia rudia zaidi ya mara kumi na sauti nikiwa nimeiachia... mwenyewe naita kukung'uta vumbi!!!Duuuu Noma sana!
Si kweli, 25 ni ya kuzuga wananchi ili isionekane anabemendwa na Wema.
Fact Diamond yuko under 25. Utaki unaacha.
haaha ila ujue huyu Daimond mjanja saana..unahisi kwanini kila akihojiwa kwenye vyombo vya habari kuhusu uhusiano wake na Wema hataki kulizungumzia anavunga?? basi subiriiaa proooject utaiona sooon
Mpwa mbona umeongea kwa kupanik.....
Relax life is too short
Hebu tuweke kumbukumbu sawa hapa manake inawezekana watu mmekazana kusifia umalaya wa wenzenu kwa vile wa kwenu hakuna anayeufuatilia. Kwa kumbukumbu zangu, tangu Diamond arudiane na Wema, hatujasikia kwa ushahidi kabisa kwamba Diamond amegonga mwanamke fulani. Tangu wamerudiana, ni karibu miaka mitatu sasa na ndipo tunapata habari za Dangote na Zari.
Sasa member mwenzangu, kaa chini na tafakari na wala haina haja ya kutoa jibu hapa... jibu baki nalo mwenyewe kwenye nafsi yako kisha jiulize kama una moral authority ya kumnyooshea kidole Diamond! Wewe mwanamke, kaa chini na tafakari kisha jijibu mwenyewe; over the past three years, umegongwa na wanaume wapya wangapi? Wewe mwanaume, over the past three years umegonga wangapi? UKishapata jibu hebu jaribu kujitafakari kama kweli unayo moral authority au tu ni kwavile ya kwako hayajulikani!!!!
Kuna watu wengine, kama kawaida yao, eti anatafuta kiki! Hii hoja ishapitwa na wakati coz' video ambae ameiachia siku tatu tu zilizopita tayari ina views zaidi ya 350,000... sasa utafute kiki ya nini kwa ku-post picha kama hiyo.... hebu njooni na hoja za msingi, hiyo ya kutafuta kiki ishakuwa obsolte!!
Tukija upande wa picha, wakati Zari yupo hapa nchini, kuna blogger mmoja wa kike alishazungumzia suala la yeye kuwapiga picha Diamond na Zari kwa siri na kuahidi kwamba angesambaza ubuyu kwa watu.... na hata ukiziangalia hizo picha utagundua ni ile siku ambayo Diamond alikuwa na Zari pamoja na Sintah! Kwahiyo kuna uwezekano mkubwa hizo picha zilipigwa na Sintah na yeye ndie kazisambaza!!!
View attachment 204962
Tangu Diamond amrudie Wema minong'ono ya yeye kuchepuka imekuwepo tukumbushane kidogo!!Hamisa mobeto ashatajwa!,pia kuna binti aliibuka akidai anamtoto wa Chibu!,pia inasemekana akiwa London ana kipozeo cha kudumu!!Pia from time to time anatajwa tajwa na watu tofauti pia wapo wanaodai anapasha kiporo kwa Penny!Hatusemi sisi wasafi ila sio sababu ya kutomshangaa jinsi alivo Kitombe!
Ok., yeye kitombe! Na hao mabinti vitombwe!
BOTTOM LINE.
Mpwa nimeandika tu wala sijaongea bado, nikiongea wala huwezi kuthubutu kunichomesha mahindi kule pm.
Karibu Capuchino home tuisindikize sunday, maisha hata kama ni mafupi sisi tunayarefusha.
Hahaaa kwahiyo hii yote kisa kukuchomesha mahindi......
Karibu haya maeneo yq Chuo Kikuu tuyarefushe maisha
hahahahaha uknw Mimi ndio nilifanikisha hiyo project na kila kitu na ndio nilikuwa napiga picha uknw maana Mimi ni Celebrity mkubwa!
hahahahahahaha leproject
I love it
Unaona sasa... kumbe maneno ya barabarani ambayo hata Hamisa mwenyewe alikana! Labda kwa kukuongezea tu, watu walisema hadi suala la Diamond na Menninah na kudai kwamba inapangwa ndoa... je, ilikuwa kweli?Tangu Diamond amrudie Wema minong'ono ya yeye kuchepuka imekuwepo tukumbushane kidogo!!Hamisa mobeto ashatajwa!,pia kuna binti aliibuka akidai anamtoto wa Chibu!,pia inasemekana akiwa London ana kipozeo cha kudumu!!Pia from time to time anatajwa tajwa na watu tofauti pia wapo wanaodai anapasha kiporo kwa Penny!Hatusemi sisi wasafi ila sio sababu ya kutomshangaa jinsi alivo Kitombe!
Nimelog in fesibuk I see same pic ipo viral pia instagram, kwa wazoefu wa editorial na grafiksi tunaona wazi mburula alivyojaribu kuunganisha picha bila scale, Diamond anakiss kidevu halafu ukubwa wa diamond mouth n face unrealistic