Is Zari and Diamond Platinumz project continues? What about Wema?

Kijana ana hitaji ushauri wa haraka mwenendo wake sio mzuri!

Kabisa Ruttashobolwa kaathirika kisaikologia kawa sex edicted hajijui maskini anahitaji washauri nasaha sasa huvi naona yeye ndio hajui kutofautisha jumlisha na x mameneja wake muwahini huyu nashangaa wanaompongeza
 
jamani kijana kahamasishwa na research ile ya kwamba mwanaume anayefanya mapenzi na wanawake wengi anapunguza hatari ya kupata tezi dume.
 
Kabisa Ruttashobolwa kaathirika kisaikologia kawa sex edicted hajijui maskini anahitaji washauri nasaha sasa huvi naona yeye ndio hajui kutofautisha jumlisha na x mameneja wake muwahini huyu nashangaa wanaompongeza

Hakika anahitaji ushauri!
 
jamani kijana kahamasishwa na research ile ya kwamba mwanaume anayefanya mapenzi na wanawake wengi anapunguza hatari ya kupata tezi dume.

tuombe hiyo research awe anafanya na vifaa!
 
Msibani lazima niattend maana spidi hiyo soon ataanza foleni ya njugu muhi2...najua mazishi yatakuwa kinondoni msafara ukianzia tandale. Masela wa tandale wakiongozwa na Juma lokole ndio watabeba mwili huku wakiimba alazwe pema peponi kamanda...mark my word. Hata Mr nice alipotelea mbali kimaradhi na n.k baada ya kuanzana na masugar mammy. Mnamsifia kuparamaia mifupa iloshinda mashine za kukata nyama buchani ila ukweli anachokifanya ni cha kujiangamiza nafsi yake.
 

tayari yuko kwenye mbaazi plan kwa hiyo hapo anaongezea tu population ya vimelea
 
ngoja mimi nisubiri Le Tamkozz kutoka kwa The BigShow kama ni kweli au sio kweli.
Jamani msilaumu sana wema kaenda kwa babu na diamond kaenda kwa bibi ngoma droo

Na huu wimbo wa nitampata wapi video yake...wema mtupu....maana demu kahongwa gari na babu kwa video na wema nae bmw
 

Le mutuz pia alikuwepo...see
 

Attachments

  • 1416797863561.jpg
    36.4 KB · Views: 301
Le mutuz pia alikuwepo...see
Aisee... kumbe hadi Le Mutuz nae alikuwepo??!!! But if you ask me , Le Mutuz hawezi kuiphoto picha kama ile... WHY? Ile picha Le Mutuz angetamani yeye awe ndie Chibu na kwavile hakuwa yeye basi ni kukosa wakose wote kuliko kuutangazia umma kwamba kwamba, wakati Le Mutuz kaishia kupiga picha tu, Mond kala hadi denda!! Hii picha kama sio Sintah basi ni watu wa karibu na Mond mwenyewe coz' mara nyingi hata unyamwezini scanda za wasanii huwa zinawekwa hadharani na watu wa karibu wa wasanii wenyewe!
 
Na huu wimbo wa nitampata wapi video yake...wema mtupu....maana demu kahongwa gari na babu kwa video na wema nae bmw
NI Wema tupu na hilo halina mjadala... unajua ukweli unabaki pale pale kwamba Mond anampenda sana Wema sema mapenzi yao yanaingiliwa mno na watu! Nilimsikiliza Chibu siku anahojiwa pale alipoachana na Wema mara ya kwanza 2011... yaani jamaa alikuwa anatia hutuma ile mbaya! Kwanza Chibu inaelekea sio mtalaamu wa kudanganya... ilikuwa ukimsikiliza kwenye yale mahojiano, unajua kabisa Diamond alikuwa dizani kama mume ----- fulani hivi... na yeye mwenyewe alikiri hivyo!

Omg... I wish they'd be together lakini watu bhana... aaaaaargh! Mara watokee wengine na "Bring Back Our Wema...!" I am very sorry with this couple.
 

i like it...!!!!
 
Jibu swali wewe... sema ukijibu lile lingine, itaniuma kweli aisee!

They were carried away when working on a project..... Uongo mwingine bana
 

Attachments

  • 1416801484059.jpg
    33.8 KB · Views: 287
They were carried away when working on a project..... Uongo mwingine bana
Yaani watu wanadendeka hadi wanasinzia kabisa halafu bado tu waseme ilikuwa ni project? Inawezekana kabisa kwamba hawakungonoka lakini kusema they're not dating ni kichekesho! Anyway, Zari analazimika kusema hayo coz' she's kids ambao wana uwezo wa kuingia instagram! Kids always believe in their mom... kwahiyo hata wakikuta posts zinazosema their mom dates with Chibu, wao wataamini yale yanayosemwa na mama yao "we ain't dating but project!" Na akishawaonesha video clips... amemaliza kazi!
 
watoto siku hizi wana majanga maskini eti mama zao ma video queen kutwa kushuhudia posters na video wakibambiwa na visharobaro.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…