Isabel Maganga ateuliwa kuwa Mkurugenzi Mtendaji mpya wa Equity Bank Tanzania; afuata nyayo za Ruth Zaipuna wa NMB

Hongera Equity bank kwa sasa mmeamua mmeleta mabadiliko makubwa ,ya kihuduma hata kwenye mikopo ya watumishi Riba zao ni rafiki sana kwa sasa wana mafuriko ya wateja hasa kanda ya ziwa CRDB NA NMB wajipange
 
Hongera Equity bank kwa sasa mmeamua mmeleta mabadiliko makubwa ,ya kihuduma hata kwenye mikopo ya watumishi Riba zao ni rafiki sana kwa sasa wana mafuriko ya wateja hasa kanda ya ziwa CRDB NA NMB wajipange
Na huo ndo ukweli....
 
Hongera Equity bank kwa sasa mmeamua mmeleta mabadiliko makubwa ,ya kihuduma hata kwenye mikopo ya watumishi Riba zao ni rafiki sana kwa sasa wana mafuriko ya wateja hasa kanda ya ziwa CRDB NA NMB wajipange
Hakika, Equity wanakuja vizuri
 
All the Best
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…