Isabela ambaye juzi alivua nguo zote hadharani atamba kuwa lulu michael hamuwezi " kimapenzi"

Isabela ambaye juzi alivua nguo zote hadharani atamba kuwa lulu michael hamuwezi " kimapenzi"

Biashara Matangazo!juzi kavua nguo mkaona utupu wa mwili wake kwa kiasi kikubwa.leo anasema yeye ni kungwi la mapenzi....kesho atafanyaje?hatujui...labda atatoa namba ya simu to any body interesting with her SERVICE.
 
Anajua mapenzi kuliko lulu au anajua sex kuliko Lulu? Watu wana misuse neno mapenzi.
 
But in Tanzania, prostitution is not legally accepted and no tax is collected by TRA from such activities, so, the police should deal with this seriously.
 
Baada ya kusikia yuko ndani ndo unatangaza ushindi
 
Hawa wasanii inakuwaje? Au ndo zile theory za success comes with making a pact with devil?
 
da,kama mapenzi nayo ni kipaji basi mie nimeingilia fani ya watu ..!

usikate tamaa. Kuongea ni kitu kimoja na kutenda ni kingine. Wengine huongea mambo fulani ili tu siku iishe haraka.
 
Akili za mtu mweusi ovyo kweli watu wanajisifu vitu vya maana yeye ajisifia na ukahaba upuuzi mtupu
 
Back
Top Bottom