Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Wamefanyaje?Chadema
Picha mkuu pia rip
NdioPicha ya maiti au?
Rip ShirimaWamefanyaje?
Dah apumnzike kwa AmaniHii ndio Taarifa Mpya iliyopatikana jana Usiku , Kwamba Mzee Isdory Shirima aliyewahi kuwa Mkuu wa Mikoa Kadhaa nchini Amefariki Dunia .
Hakuna taarifa zaidi za matanga , Ugonjwa uliopelekea Kifo chake wala Hospitali aliyofia .
Tunatoa pole kwa wafiwa wote .
Apumzike kwa amani .
Unatia aibu sana !Chadema
Desderia g/h!Unatia aibu sana !
Mkilewa msiingie jf jamani mtakuja kudhalilikaDesderia g/h!
Na chenyewe ndiyo Kimeshakufa au?Chadema
Hakunaga mchaga mzalendoRest easy Mzee Shirima. Askari shupavu na kiongozi mzalendo kwa nchi yake
Ukabila ni kielelezo cha kijinga sana cha mtu duni , akili za kishamba za Jiwe hazitakupeleka popoteHakunaga mchaga mzalendo
USSR