Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Hii ndio taarifa mpya iliyopatikana jana usiku, kwamba Mzee Isdory Shirima aliyewahi kuwa Mkuu wa Mikoa kadhaa nchini amefariki Dunia.
Hakuna taarifa zaidi za matanga, Ugonjwa uliopelekea kifo chake wala Hospitali aliyofia.
Tunatoa pole kwa wafiwa wote.
Apumzike kwa amani.
Hakuna taarifa zaidi za matanga, Ugonjwa uliopelekea kifo chake wala Hospitali aliyofia.
Tunatoa pole kwa wafiwa wote.
Apumzike kwa amani.