Ish Ish Aaaa....

Ish Ish Aaaa....

Umba Tuku

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2017
Posts
2,101
Reaction score
1,271
uhuru-main.jpg
 
Tanzania tulihitaji viongozi aina ya Uhuru na Ruto! Ingawa haikuwa, lkn wakati ule Mbowe anagombea Urais, ilikuwa ni turufu kwetu kama Nchi.... Ila hofu ya CCM ilitufanya tupambane nae ili asishinde...
Ukweli ni kwamba huyu anabaki kuwa mwanasiasa makini ambaye Nchi hii imebahatika kuwa nae. Ni mojawapo ya matunda halisi ya Mwalimu Nyerere...achana na hawa wanaomuigiza. Ndani ya CCM halisi tunajua uwezo wa huyu kijana..tatizo lake pekee ni yeye kuamua kuikomboa Nchi hii kupitia upinzani. Ndani ya CCM tunao vijana wanne tu aina yake, lkn ni kama wamesusia siasa.
 
Tanzania tulihitaji viongozi aina ya Uhuru na Ruto! Ingawa haikuwa, lkn wakati ule Mbowe anagombea Urais, ilikuwa ni turufu kwetu kama Nchi.... Ila hofu ya CCM ilitufanya tupambane nae ili asishinde...
Ukweli ni kwamba huyu anabaki kuwa mwanasiasa makini ambaye Nchi hii imebahatika kuwa nae. Ni mojawapo ya matunda halisi ya Mwalimu Nyerere...achana na hawa wanaomuigiza. Ndani ya CCM halisi tunajua uwezo wa huyu kijana..tatizo lake pekee ni yeye kuamua kuikomboa Nchi hii kupitia upinzani. Ndani ya CCM tunao vijana wanne tu aina yake, lkn ni kama wamesusia siasa.

da ndio ivo
 
Back
Top Bottom