Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
maana ya hii picha ni ipi?
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Tanzania tulihitaji viongozi aina ya Uhuru na Ruto! Ingawa haikuwa, lkn wakati ule Mbowe anagombea Urais, ilikuwa ni turufu kwetu kama Nchi.... Ila hofu ya CCM ilitufanya tupambane nae ili asishinde...
Ukweli ni kwamba huyu anabaki kuwa mwanasiasa makini ambaye Nchi hii imebahatika kuwa nae. Ni mojawapo ya matunda halisi ya Mwalimu Nyerere...achana na hawa wanaomuigiza. Ndani ya CCM halisi tunajua uwezo wa huyu kijana..tatizo lake pekee ni yeye kuamua kuikomboa Nchi hii kupitia upinzani. Ndani ya CCM tunao vijana wanne tu aina yake, lkn ni kama wamesusia siasa.