Isha Mashauzi adaiwa kuwafanyia mbaya nduguze

Status
Not open for further replies.
Waswahili wana tabu sana
yaani mnataka msiba usafirishwe na pesa hamna
na mnataka mtu mwingine agharamie hizo safari
halafu alipokataa kawa mbaya sasa?
seriously?

ndo wazaramo hao kaka . wakiamua kukinukisha hakuna wa kupinga
 
Musoma mbali, watu wanakaa Dar miaka 15 bila kwenda kutembelea ndugu zao kwahiyo walivyosikia msiba unasafirishwa Kila mtu akafunga mizigo akajua lift ya kwenda Rorya. Wakurya tabu Sana.
 
Musoma mbali, watu wanakaa Dar miaka 15 bila kwenda kutembelea ndugu zao kwahiyo walivyosikia msiba unasafirishwa Kila mtu akafunga mizigo akajua lift ya kwenda Rorya. Wakurya tabu Sana.
Hakukuwa na anaenda salimia maana gari walio kodi ilikuwa ni kuzika jioni asubuhi wanageza na gari hiyohiyo kwenye huwo msiba zaidi tuliona nguvu kati ya wasanii na familia
 
Walitaka wakazike Musoma wakijua kabisa Isha ndo ana pesa, na akataka wazike Dar akijua wote wanategemea yeye ndo atatoa pesa ya kutosha, ningefanya the same.
 
Binadamu kusema ni kawaida,na ndugu wengine wanakua na husda sana iwapo mmoja ana uwezo japo kidogo
Mmetaka kupeleka msiba Musoma pesa hamna mnategemea atoe mtu mwengine kama amewafahamisha kua hana
tatizo liko wapi?
 
Isha aliona mbali kua msiba ukienda Musoma hautofana kama ukibaki Dar maana selfie za msibani zinategemea mazingira pia alafu kilio cha Musoma na Dar tofauti hata michango inatofautiana.
Ah! Wapi?
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…