Ishakuwa kawaida mtu ana degree kuwa bodaboda au barmaid

Ishakuwa kawaida mtu ana degree kuwa bodaboda au barmaid

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
Ndipo tulipofikia kama nchi watu wengi hasa dar ma barmaid fuatilia sana wengi wamesoma kama sio diploma basi wana degree.wengi sana kikubwa tu maisha yaendelee inawabidi wafanye hivyo.imagine mtu kamaliza degree ya education 2016 mpaka leo hana ajira je huu ni uungwana?
 
Ndipo tulipofikia kama nchi watu wengi hasa dar ma barmaid fuatilia sana wengi wamesoma kama sio diploma basi wana degree.wengi sana kikubwa tu maisha yaendelee inawabidi wafanye hivyo.imagine mtu kamaliza degree ya education 2016 mpaka leo hana ajira je huu ni uungwana?
Pole pole nchi inazidi kuwa Kama Nigeria, siyo ajabu kwa nchi ya Nigeria kumuona PhD Holder anafanya kazi ya kuuza machungwa mitaani.
 
Kama MTU Ana degree ajaribu pia kuwa na soft skills mbali mbali

Maana kuna MTU alipost tangazo anaomba Ajira Ila nilipompigia simu ili nimrushie Tangazo la kazi.

Akapokea simu huku Anaongea Kama Mimi ndo nahitaji kazi na sio yeye.

So nilimtumia Namba ya Boss Ila boss huyu sio muhitaji wa kazi .

Hivyo kwakuwa kuna changamoto kubwa ya Ajira tujitahidi kuwa smart ,humble .

Kuwa mnyenyekevu sio udhaifu Ila ni njia ya kuinuliwa.

Maana watumishi wa serikali ndo huwa wanafanya Kazi ilimradi siku ipite Ila sector binafsi wanapenda kuona unatoa matokeo.
 
Ndipo tulipofikia kama nchi watu wengi hasa dar ma barmaid fuatilia sana wengi wamesoma kama sio diploma basi wana degree.wengi sana kikubwa tu maisha yaendelee inawabidi wafanye hivyo.imagine mtu kamaliza degree ya education 2016 mpaka leo hana ajira je huu ni uungwana?
Boda boda hata Uber/bolt. Mwanzo wakati pikipiki zinaanza waendesha boda boda walikuwa vijana wahuni wahuni ila now mi bababa, mizee mingine iko na boda boda kabisa na bado hawaoni umuhimu wa kupiga kura hahah
 
kikubwa kazi mbona china mtu anaacha udaktar anaenda kuwa dalali wa magari.
 
Mbona bodaboda wengine wanaingiza kipato kizuri kwa siku. Kuna boda nafahamiana nae ana stress za mke na biashara kufeli, akawa anakuja kibaruani kwangu kupumzika kupoteza muda. Hana motivation ya kufanya kazi hivyo hakai kijiweni anategemea Bolt kivivu ile sitaki nataka.

Siku moja nikawahi asubuhi jamaa mwingine kumbe aliomba bodaboda na simu ya jamaa usiku akafanyie kazi Bolt. Aliichukua saa tatu usiku akairudisha saa nne asubuhi akaniachia 38,000 nimpe jamaa. Nadhani mafuta hakununua na jamaa alilalamika kuwa nimeachiwa hela kidogo. Ila mabodaboda wengi ninaotumia hata wawe wanafanya kazi kiasi gani hawaweki mafuta ya zaidi ya 20,000 kwa siku.

Bodaboda mwenye akili timamu Dar ni zaidi ya kima cha chini cha mshahara wa serikali.
 
Back
Top Bottom