Sol de Mayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 6,515
- 6,230
Hapa mi ndo sijaelewa au wewe hujaeleweka! Unafanyaje kosa halafu liwe sio kosa lako?
Huenda amemaanisha "lazima ukubali/uchukue lawama hata kama kosa ulilofanya si lako.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa mi ndo sijaelewa au wewe hujaeleweka! Unafanyaje kosa halafu liwe sio kosa lako?
factHuenda amemaanisha "lazima ukubali/uchukue lawama hata kama kosa ulilofanya si lako.
Naanza leo dadekipambana mzeiya
yechu yechuNaanza leo dadeki
Baada ya hapo ikawaje mkuu?Hapo kwenye kunyimwa papuchi ndipo kitanzini, hili lilikuwa linatokea marakwa mara mwisho nikasmua kiume, siku kagoma nikamwambia hamia chumba cha watoto akahamia tukatoboa mwezi ila kila jumapili naoga navaa vizuri navaa nadhifu natoka narudi usiku nimeshiba huko nalala fofo, huku nyuma nikitoka yeye ni kulia tu, akilala na watoto akihakikisha wamelala ni kuhamia sebuleni na kulia tu
ya tupe next episod uzi juu ya uziHapo kwenye kunyimwa papuchi ndipo kitanzini, hili lilikuwa linatokea marakwa mara mwisho nikasmua kiume, siku kagoma nikamwambia hamia chumba cha watoto akahamia tukatoboa mwezi ila kila jumapili naoga navaa vizuri navaa nadhifu natoka narudi usiku nimeshiba huko nalala fofo, huku nyuma nikitoka yeye ni kulia tu, akilala na watoto akihakikisha wamelala ni kuhamia sebuleni na kulia tu
Limchome nani na kwa kipi hasa? PoleeeehLimekuchoma hiloooo[emoji849]
Wacha weeehKiasi sio sana
Hakika kabisa yaanTena kumekucha kweli
indeedWacha weeeh
sheria tu bobAMA KWA HAKIKA HAKUNA AIJUAYE KESHO NA HATA YULE MTUNZI WA KALENDA
KATIKA HUU ULIMWENGU HAKUNA KITU KINACHOITWA HAKI ISIPOKUWA NI UJANJA TUsheria tu bob
😂 😂 😂 😂Limekuchoma hiloooo🙄
Kwani nimebisha Dada.....!Limchome nani na kwa kipi hasa? Poleeeeh