TheMaster
Member
- Aug 10, 2023
- 36
- 68
Kwa kilichotokea mbeya, Msanii wa WCB kwajina maarufu ZUCHU kuwanyooshea mashabiki kidole cha kati kisha kuanza kurushiwa mawe na chupa za maji na baadhi ya Mashabiki walioonesha kukerwa na kitendo kile Huwenda ukawa ni mtego kwa serikali na chama cha CCM.
Hii si mara ya kwanza kwa bint huyu wa kizanzibari kufanya matusi stejini, aliwahi kufanya matusi ya uchi akiwa jukwaani zanzibar kisha kufungiwa kwa muda wa miezi 6 na faini, ila juzi tena amerudia vilevile kutukana jukwaani hadharani kabisa.
Je anafanya hivi kwa kujiamini yeye ni Mzanzibari na raisi ni Mzanzibari hivyo hakuna wa kumgusa??
Je anafanya hivi kwa kujiamini kuwa Huwenda kwasababu ni mwana CCM bhasi CCM Iitamlinda??
Akili kumkichwa BASATA, bint huyu adhabu inamstahiki kali kabisa bila kujali uzanzibari wake wala hadhi yake
Hii si mara ya kwanza kwa bint huyu wa kizanzibari kufanya matusi stejini, aliwahi kufanya matusi ya uchi akiwa jukwaani zanzibar kisha kufungiwa kwa muda wa miezi 6 na faini, ila juzi tena amerudia vilevile kutukana jukwaani hadharani kabisa.
Je anafanya hivi kwa kujiamini yeye ni Mzanzibari na raisi ni Mzanzibari hivyo hakuna wa kumgusa??
Je anafanya hivi kwa kujiamini kuwa Huwenda kwasababu ni mwana CCM bhasi CCM Iitamlinda??
Akili kumkichwa BASATA, bint huyu adhabu inamstahiki kali kabisa bila kujali uzanzibari wake wala hadhi yake