Ishara za Nyakati: Bendera ya CHADEMA yapepea kwenye kilele cha Mlima Kilimanjaro

Ishara za Nyakati: Bendera ya CHADEMA yapepea kwenye kilele cha Mlima Kilimanjaro

CHA

Hii ndio Taarifa ya sasa kwenda kwa jamii yote Duniani, kwamba hivi ninavyoandika hapa Bendera ya CHADEMA imepandishwa na kusimikwa rasmi kwenye kilele cha Mlima Kilimanjaro, yaani hivi sasa inapepea juu ya mlima huo.

Ndugu David Kilawila ndiye Shujaa aliyefanikiwa kuipandisha bendera hiyo kileleni hapo.

Sasa kwa kadiri ya maono ya Wadau hili jambo linatajwa kufanana na na lile Jambo la MAMA JUSI watatu walioona nyota iking'aa angani.

Je, kwa maoni yako Jambo hili linaashiria nini?
CHADEMA kuendelea kulamba asali ya mama
 

Hii ndio Taarifa ya sasa kwenda kwa jamii yote Duniani, kwamba hivi ninavyoandika hapa Bendera ya CHADEMA imepandishwa na kusimikwa rasmi kwenye kilele cha Mlima Kilimanjaro, yaani hivi sasa inapepea juu ya mlima huo.

Ndugu David Kilawila ndiye Shujaa aliyefanikiwa kuipandisha bendera hiyo kileleni hapo.

Sasa kwa kadiri ya maono ya Wadau hili jambo linatajwa kufanana na na lile Jambo la MAMA JUSI watatu walioona nyota iking'aa angani.

Je, kwa maoni yako Jambo hili linaashiria nini?
Very trivial issue.
 

Hii ndio Taarifa ya sasa kwenda kwa jamii yote Duniani, kwamba hivi ninavyoandika hapa Bendera ya CHADEMA imepandishwa na kusimikwa rasmi kwenye kilele cha Mlima Kilimanjaro, yaani hivi sasa inapepea juu ya mlima huo.

Ndugu David Kilawila ndiye Shujaa aliyefanikiwa kuipandisha bendera hiyo kileleni hapo.

Sasa kwa kadiri ya maono ya Wadau hili jambo linatajwa kufanana na na lile Jambo la MAMA JUSI watatu walioona nyota iking'aa angani.

Je, kwa maoni yako Jambo hili linaashiria nini?
Enzi za Jiwe huyo aliyepandisha bendera angepewa kesi ya utakatishaji fedha au angepotezwa kama Ben Saanane.
 
Mungu ibariki CHADEMA
.
20230316_002327.jpg
 

Hii ndio Taarifa ya sasa kwenda kwa jamii yote Duniani, kwamba hivi ninavyoandika hapa Bendera ya CHADEMA imepandishwa na kusimikwa rasmi kwenye kilele cha Mlima Kilimanjaro, yaani hivi sasa inapepea juu ya mlima huo.

Ndugu David Kilawila ndiye Shujaa aliyefanikiwa kuipandisha bendera hiyo kileleni hapo.

Sasa kwa kadiri ya maono ya Wadau hili jambo linatajwa kufanana na na lile Jambo la MAMA JUSI watatu walioona nyota iking'aa angani.

Je, kwa maoni yako Jambo hili linaashiria nini?

Safi sana, spirit hiyo hiyo ndio CDM waitumie kujenga ofisi yenye hadhi ya chama hicho. Matusi ya rejareja kwa ofisi kuu iliyoko sasa hayavumiliki.
 

Hii ndio Taarifa ya sasa kwenda kwa jamii yote Duniani, kwamba hivi ninavyoandika hapa Bendera ya CHADEMA imepandishwa na kusimikwa rasmi kwenye kilele cha Mlima Kilimanjaro, yaani hivi sasa inapepea juu ya mlima huo.

Ndugu David Kilawila ndiye Shujaa aliyefanikiwa kuipandisha bendera hiyo kileleni hapo.

Sasa kwa kadiri ya maono ya Wadau hili jambo linatajwa kufanana na na lile Jambo la MAMA JUSI watatu walioona nyota iking'aa angani.

Je, kwa maoni yako Jambo hili linaashiria nini?
David ndo ajaye kupitia CDM?

Maana mgombea au mkt ndo alitakiwa aifikishe Bendera kileleni.
 
Nasikitika kuona kijana akijihangaisha na siasa za maji taka badala ya kujikita kwenye uzalishaji mali utakaoweza kumkomboa yeye na familia yake dhidi matatizo ya kiuchumi.

My friend amka kutoka kwenye huo usingizi usije ukakojoa kitandani, hakuna mwanasiasa atakayekuletea kiroba cha unga nyumbani kwako.
Kuna waajiriwa ktk siasa, ni KAZI kama KAZI zingine.
 
Kitendo cha bendera ya CHADEMA kupandishwa juu ya mlima ni dalili mbaya sana ya anguko lake kulingana na mambo ya kiroho yalivyo. Nabii Musa alipandishwa juu ya kilele cha mlima na kuonyeshwa nchi ya ahadi lakini akaambiwa utaishia kuiona tu hutakanyaga pale. Kwa CHADEMA hiyo ni ishara kwamba hawatakanyaga ikulu... wataishia kuiona wanapoenda kufanya maridhiano. CHADEMA wamfukuze kwenye chama chao huyo kada aliyefanya hicho kitendo kinachoashiria balaa.
 
Back
Top Bottom