SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Kwanini unateseka sanaBasi nikadhan inapepea kwenye mlingoti kumbe mwanachama kapiga nayo picha. Mbona haijawahi kukatazwa hio. Halafu huyo sidhan kama yeye mwanachama ni wa kwanza wa cdm kufika na bendera huko
CHADEMA kuendelea kulamba asali ya mama
Hii ndio Taarifa ya sasa kwenda kwa jamii yote Duniani, kwamba hivi ninavyoandika hapa Bendera ya CHADEMA imepandishwa na kusimikwa rasmi kwenye kilele cha Mlima Kilimanjaro, yaani hivi sasa inapepea juu ya mlima huo.
Ndugu David Kilawila ndiye Shujaa aliyefanikiwa kuipandisha bendera hiyo kileleni hapo.
Sasa kwa kadiri ya maono ya Wadau hili jambo linatajwa kufanana na na lile Jambo la MAMA JUSI watatu walioona nyota iking'aa angani.
Je, kwa maoni yako Jambo hili linaashiria nini?
Very trivial issue.
Hii ndio Taarifa ya sasa kwenda kwa jamii yote Duniani, kwamba hivi ninavyoandika hapa Bendera ya CHADEMA imepandishwa na kusimikwa rasmi kwenye kilele cha Mlima Kilimanjaro, yaani hivi sasa inapepea juu ya mlima huo.
Ndugu David Kilawila ndiye Shujaa aliyefanikiwa kuipandisha bendera hiyo kileleni hapo.
Sasa kwa kadiri ya maono ya Wadau hili jambo linatajwa kufanana na na lile Jambo la MAMA JUSI watatu walioona nyota iking'aa angani.
Je, kwa maoni yako Jambo hili linaashiria nini?
Siasa za kikoloni. Chadema haina hamasa tena. ImeishaMbinu za CHADEMA ni za hali ya juu mno.. Zimefanikiwa kuifanya CHADEMA kuwa kwenye mijadala wakati wote huku CCM ikikosa kabisa cha kujadililwa
Enzi za Jiwe huyo aliyepandisha bendera angepewa kesi ya utakatishaji fedha au angepotezwa kama Ben Saanane.
Hii ndio Taarifa ya sasa kwenda kwa jamii yote Duniani, kwamba hivi ninavyoandika hapa Bendera ya CHADEMA imepandishwa na kusimikwa rasmi kwenye kilele cha Mlima Kilimanjaro, yaani hivi sasa inapepea juu ya mlima huo.
Ndugu David Kilawila ndiye Shujaa aliyefanikiwa kuipandisha bendera hiyo kileleni hapo.
Sasa kwa kadiri ya maono ya Wadau hili jambo linatajwa kufanana na na lile Jambo la MAMA JUSI watatu walioona nyota iking'aa angani.
Je, kwa maoni yako Jambo hili linaashiria nini?
Kwa sasa wapinzani wa CHADEMA ni kina nani? Je ni;Masukuma gang yatapinga kwa kuwa ni mapumbavu.
Hata Zumaridi anajadiliwa sana kwa upuuzi wake.Mbinu za CHADEMA ni za hali ya juu mno.. Zimefanikiwa kuifanya CHADEMA kuwa kwenye mijadala wakati wote huku CCM ikikosa kabisa cha kujadililwa
.Mungu ibariki CHADEMA
Hii ndio Taarifa ya sasa kwenda kwa jamii yote Duniani, kwamba hivi ninavyoandika hapa Bendera ya CHADEMA imepandishwa na kusimikwa rasmi kwenye kilele cha Mlima Kilimanjaro, yaani hivi sasa inapepea juu ya mlima huo.
Ndugu David Kilawila ndiye Shujaa aliyefanikiwa kuipandisha bendera hiyo kileleni hapo.
Sasa kwa kadiri ya maono ya Wadau hili jambo linatajwa kufanana na na lile Jambo la MAMA JUSI watatu walioona nyota iking'aa angani.
Je, kwa maoni yako Jambo hili linaashiria nini?
David ndo ajaye kupitia CDM?
Hii ndio Taarifa ya sasa kwenda kwa jamii yote Duniani, kwamba hivi ninavyoandika hapa Bendera ya CHADEMA imepandishwa na kusimikwa rasmi kwenye kilele cha Mlima Kilimanjaro, yaani hivi sasa inapepea juu ya mlima huo.
Ndugu David Kilawila ndiye Shujaa aliyefanikiwa kuipandisha bendera hiyo kileleni hapo.
Sasa kwa kadiri ya maono ya Wadau hili jambo linatajwa kufanana na na lile Jambo la MAMA JUSI watatu walioona nyota iking'aa angani.
Je, kwa maoni yako Jambo hili linaashiria nini?
Kuna waajiriwa ktk siasa, ni KAZI kama KAZI zingine.Nasikitika kuona kijana akijihangaisha na siasa za maji taka badala ya kujikita kwenye uzalishaji mali utakaoweza kumkomboa yeye na familia yake dhidi matatizo ya kiuchumi.
My friend amka kutoka kwenye huo usingizi usije ukakojoa kitandani, hakuna mwanasiasa atakayekuletea kiroba cha unga nyumbani kwako.
Nikupe namba yakeMm hua namkubali sana mtoa mada
Kabisa yaani !Enzi za Jiwe huyo aliyepandisha bendera angepewa kesi ya utakatishaji fedha au angepotezwa kama Ben Saanane.
Kama n mwanamke nipe namba yakeNikupe namba yake
Wacha weeee !!!Matatizo ya akili hayakosekani.
Wewe unafanya kazi?Hawana kazi za kufanya