Tulia weweeewewe nawe umeganda na Dr. FD wengine huwaoni?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tulia weweeewewe nawe umeganda na Dr. FD wengine huwaoni?
Samaleko wana Jukwaa na Moderators kwa ujumla.
Unapotokea msiba wa mtu maarufu hapa nchini kuanzia Viongozi, Wafanyabiashara na Wasanii kumekua na mtindo kwenye mitandao hii Jamii watu wakitaka kufahamu mazingira na nyumbani kwa mfiwa kuna Nyumba nzuri? Amejenga?
Ni mtindo uliozuka baada ya kufa kwa Mama mzazi wa msaniii (sina uhakika kama ni msanii au mzugaji) Lulu Diva nimeona watu wakipasifia kwa Membe. Leo naona macho yataelekweza kwa Ndugu Marehemu "Le Mutuz" na wengi wameanza kuhoji kama amejenga?
View attachment 2623791
Na mabilioni ya Musiba nayo sijui itakuaje?? Wazuri hawafii, alisika babu yule mwenye mdomo usiokua na breki akibwabwaja.
Le Mutuz ana nyumba Kinyerezi, ila yeye ni mtu wa down town ndio maana alichukuwa apartment town.Sasa mtu ni waziri kwa nini asijenge? Membe lazima ajenge uwezo alikuwa nao.na kweli kajenga.
Lemutuz??? Ajenge ili iweje? Watoto walimkataa, hana mke hana ndugu ambae walikuwa bega kwa bega ajenge kwa lipi?
Baba yake lemutuz ni waziri mkuu kwake mlipaona palivyo kuzuri na atazikwa baba yake ajenge ili iweje?
Btw lemutuz ana nyumba.
Watu hadi wanafunga, kuna mtindo bongo waliouanzisha ni wao; kwa hio hii inaitwa karma. Kwamba ukifa wanabinya mvinyo na sherehe kwa sana. Nimekaa pale nataradadi kuona mtu mubaya mwingine atakaevuta, mwaka bado mrefu sana huu.Naona majamaa wanamsubiria. Hii nchi yaani dah. Tumefika mahali tunasubiriana kufa sasa ili watu wafanye sherehe 🚮🚮🚮
View attachment 2624159
Unaweza hata kesho usiione.Watu hadi wanafunga, kuna mtindo bongo waliouanzisha ni wao; kwa hio hii inaitwa karma. Kwamba ukifa wanabinya mvinyo na sherehe kwa sana. Nimekaa pale nataradadi kuona mtu mubaya mwingine atakaevuta, mwaka bado mrefu sana huu.