Ishu sio kufa, ishu nyumbani umejenga?

Ishu sio kufa, ishu nyumbani umejenga?

Samaleko wana Jukwaa na Moderators kwa ujumla.

Unapotokea msiba wa mtu maarufu hapa nchini kuanzia Viongozi, Wafanyabiashara na Wasanii kumekua na mtindo kwenye mitandao hii Jamii watu wakitaka kufahamu mazingira na nyumbani kwa mfiwa kuna Nyumba nzuri? Amejenga?

Ni mtindo uliozuka baada ya kufa kwa Mama mzazi wa msaniii (sina uhakika kama ni msanii au mzugaji) Lulu Diva nimeona watu wakipasifia kwa Membe. Leo naona macho yataelekweza kwa Ndugu Marehemu "Le Mutuz" na wengi wameanza kuhoji kama amejenga?

View attachment 2623791
Screenshot_20230516-131124_Facebook.jpg
 
Sasa mtu ni waziri kwa nini asijenge? Membe lazima ajenge uwezo alikuwa nao.na kweli kajenga.

Lemutuz??? Ajenge ili iweje? Watoto walimkataa, hana mke hana ndugu ambae walikuwa bega kwa bega ajenge kwa lipi?

Baba yake lemutuz ni waziri mkuu kwake mlipaona palivyo kuzuri na atazikwa baba yake ajenge ili iweje?

Btw lemutuz ana nyumba.
 
Sasa mtu ni waziri kwa nini asijenge? Membe lazima ajenge uwezo alikuwa nao.na kweli kajenga.

Lemutuz??? Ajenge ili iweje? Watoto walimkataa, hana mke hana ndugu ambae walikuwa bega kwa bega ajenge kwa lipi?

Baba yake lemutuz ni waziri mkuu kwake mlipaona palivyo kuzuri na atazikwa baba yake ajenge ili iweje?

Btw lemutuz ana nyumba.
Le Mutuz ana nyumba Kinyerezi, ila yeye ni mtu wa down town ndio maana alichukuwa apartment town.
 
Naona majamaa wanamsubiria. Hii nchi yaani dah. Tumefika mahali tunasubiriana kufa sasa ili watu wafanye sherehe 🚮🚮🚮

View attachment 2624159
Watu hadi wanafunga, kuna mtindo bongo waliouanzisha ni wao; kwa hio hii inaitwa karma. Kwamba ukifa wanabinya mvinyo na sherehe kwa sana. Nimekaa pale nataradadi kuona mtu mubaya mwingine atakaevuta, mwaka bado mrefu sana huu.
 
Back
Top Bottom